Simba Sc yasisitiza, RC alitumia mamlaka yake kuleta Uyanga. Yamsagia kunguni kwa Rais

Simba Sc yasisitiza, RC alitumia mamlaka yake kuleta Uyanga. Yamsagia kunguni kwa Rais

View attachment 3159115
Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally,amesisitiza msimamo wa klabu kuwa RC Mwanza alitumia mamlaka yake vibaya kuifanyia Simba mambo ya kihuni.

Amebainisha kuwa Simba imeshatoa taarifa kwa mamlaka za soka ili kuchukua hatua stahiki kwa wahusika wote.

My Take
Wanamichezo wote tukemee hii tabia ya kulewa madaraka kwa huyu RC. Tumsisitize Rais kuwaondoa watu kama hawa kwenye nafasi kwa sababu wanafifisha jitihada za kupeleka mbele mpira wa miguu

Safi sana,wengine watajifunza ,mbona Chalamila yupo Dar na hivi vilabu wala haangaiki nao.

Mtanda alitaka sifa zikamzidi.
 
Yote Kheri Tu,,Mtalumbana Wee,,Lakini Hayo Hayatokei Kwa Bahati Mbaya###Yamepangwa###Mtatoana ROHO bure Wenzenu Wanafanikisha Yao
 
RC inampangiaje sehemu ya kuwa na police wake
Kwani nyie mbumbumbu ndo mara ya kwanza kuona police wakiwa na silaha?
Kama huna uhalifu unaogopa police wa nini?
Yaani mpeleke nganda na ushirikina msiguswe na mamlaka?
Kama unawapenda sana hao polisi na silaha zao waite kwako mnywe chai
 
Kama unawapenda sana hao polisi na silaha zao waite kwako mnywe chai
Waje nyumbani kwangu kufanyaje
Pale uwanjani walienda kuzuia makomando wa Simba walivamia viongozi wa Pamba Jiji vyumbani na kuvunja vioo na milango
Au ulitaka hao makomando wa Simba wauwe watu na police wasifike
 
Wale wazee.wa Simba wako wapi waliompa siku Saba Kayoko na kuwasema mawaziri. Wamsagie kinguni na huyu mkuu wa mkoa.
 
Waje nyumbani kwangu kufanyaje
Pale uwanjani walienda kuzuia makomando wa Simba walivamia viongozi wa Pamba Jiji vyumbani na kuvunja vioo na milango
Au ulitaka hao makomando wa Simba wauwe watu na police wasifike
Haueleweki. Unaleta ushabiki mandazi katika mambo serious. Umetoka kusema hakukuwa na vurugu, tena unakuja kusema makomando wamevamia viongozi vyumbani.

Halafu ukiwa unamfungia mtu ili asitoke inakuwaje uvunje vioo na milango?
 
Wanavyo ifanyia figisu Simba ndivyo wanavyo iongezea hamasa ya kupambana na kushinda.
Nasubiri zawadi ya m. 40 siku ikienda kucheza timu nyingine hapo Kirumba.
Bila kusahau Bunduki nazo ziende siku ya mazoezi ya hizo timu nyingine.
 
View attachment 3159115
Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally,amesisitiza msimamo wa klabu kuwa RC Mwanza alitumia mamlaka yake vibaya kuifanyia Simba mambo ya kihuni.

Amebainisha kuwa Simba imeshatoa taarifa kwa mamlaka za soka ili kuchukua hatua stahiki kwa wahusika wote.

My Take
Wanamichezo wote tukemee hii tabia ya kulewa madaraka kwa huyu RC. Tumsisitize Rais kuwaondoa watu kama hawa kwenye nafasi kwa sababu wanafifisha jitihada za kupeleka mbele mpira wa miguu
Washikilie hapohapo
 
Swali tu kilchompeleka yeye binafsi uwanjani ni nini? Kulikuwa na shida gani kubwa ambayo ailimuhitaji yeye afike?
20241123_014520.jpg
 
Huyu mkuu wa mkoa akae atulie. Kama nyuma mwiko walimtuma, atajua hajui. Ameingia kwenye rada za ubaya ubwela, asubiri sasa. Video si zimemuonesha live kabisa, sasa wanatoa maelezo gani. Yaani wamemaliza kufyeka wagombea wa Chadema wanakuja tena kwenye soccer. Sisi sio wajinga
20241123_014529.jpg
 
Mkuu wa Mkoa aliingilia mazoezi ya Simba na kuleta Polisi Uwanjani. Viongozi wa Pamba Jiji walivamia mazoezi na Kugoma kuondoka. Kimsingi hilo ni kosa kwani hawakupaswa kulazimisha kuhudhuria mazoezi hayo. Mkuu wa Mkoa, Said Mtanda amekiuka taratibu za mpira, kwa Unazi wake
20241123_014520.jpg
 
Nadhani maoni ya wadau wa mpira yamemfikia na yamemfundisha jambo kama ni muelewa.
Akiendelea na unazi wake kwa hiyo timu yake pendwa ajiandae kutumbuliwa tu na hakuna namna nyingine.
Ili ajikite zaidi kwenye unazi wa mpira.
 
Atebaaaaaaaaaaa
Simba 1 Pamba(yanga b) 0

Chikolaaaaaaaaa
Tabora utd 3 Yanga 1

Silaaaaaaaaaaaa
Azam 1 Yanga 0.
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
25. Manguruwe SC.
JamiiForums1222824732.jpeg
 
Kweli hii nchi imeoza yaani club ya mpira inamvimbia mteule wa rais!
 
Simba ni Klabu fulani yenye mambo mengi ya ajabu ajabu sana nje ya uwanja tangu zamani. Klabu inayoendekeza mambo ya Kishirikina, yaani ukiona roho yako inaipenda hiyo timu ujue una damu ya kichawi. Klabu inayoongoza KWA KUTENGENEZA SCENARIOS ZA UWONGO. KLABU YA ULALAMISHI TU.
UKIFUATILIA HATA COMMENTS NYINGI HUMU UTAGUNDUA MASHABIKI WAKE NDIO WANAOONGOZA KWA MANENO MACHAFU NA KUTUKANA. HATA KWENYE VIBANDA UMIZA TUNAPOANGALIZIA MIPIRA UTAKUTA MANENO MACHAFU NI WANA SIMBA.
SIMBA MIAKA MINGI WAMEKUWA NA TABIA YA KUPULIZA MADAWA KWENYE VYUMBA VYA TIMU PINZANI, NA HII ILISHALALAMIKIWA HADI CAF

TANGU MWAKA ULE NIKIWA SOUTH AFRICA HALAFI SIMBA IKATUTIA AIBU KUFANYA USHIRIKINA UWANJANI NILIITOA MAANA.
YANGA SIIPENDI PIA LAKINI WANA UAFADHALI MKUBWA SANA NA WAMESTAARABIKA MNO.

MIMI NITABAKI KUISAPOTI AZAM JAPO HUWA INANIANGUSHA SANA.
 
Kauli yako hii inakufunga wewe na huyo mkuu wako wa mkoa. Kama hakukuwa na vurugu, polisi na huyo RC walienda kufanya nini?
Katafute kwanza chanzo halisi cha hilo tukio lililo sababisha polisi na huyo RC kufika hapo uwanjani, kabla kuuliza maswali yenye majibu ndani yake.
 
Wanamichezo wenye akili timamu hawawezi kukemea/kulaani taarifa isiyo na ushahidi. Imagine mpaka muda huu hatuajaambiwa Matola na mwenzake walipelekwa kituo gani cha polisi baada ya kukamatwa! Video clip iliyorushwa, haioneshi uwepo wa vurugu ndani/nje ya uwanja!! Sasa kama siyo uzushi ni nini!!

Labda mashabiki mbumbumbu pekee wenye mihemko na uwezo mdogo wa kufikiri na kuchanganua mambo; ndiyo watalaani na kukemea huo upuuzi.
Weee ni kiazi mbatata haswa.
 
Back
Top Bottom