Simba Sc yasisitiza, RC alitumia mamlaka yake kuleta Uyanga. Yamsagia kunguni kwa Rais

Yule mkuu alikosa busara ya kiuongozi. Sisi kama mashabiki hatuwezi kutenganisha ukuu wake wa mkoa na ushabiki wa yanga au pamba. Hakukua na sababu ya yeye kufika pale full stop
 
Kw
Kwakuwa wew ni mwanayanga,umefumba macho alienda kufanya nini uwanjani?
 
Utopolo hamwezi kuelewa ni somo gumu kwenu, Sunday Manara na Kikwete wanawaangalia tu
 
Aaahh Mwasibu CPA feki OKW BOBAN SUNZU ovyo kabisa.
 
Haueleweki. Unaleta ushabiki mandazi katika mambo serious. Umetoka kusema hakukuwa na vurugu, tena unakuja kusema makomando wamevamia viongozi vyumbani.

Halafu ukiwa unamfungia mtu ili asitoke inakuwaje uvunje vioo na milango?
Fuatilia chanzo
Unakuja hapa unalia machozi wakati kilichotokea hujui
 
Uwanja wa CCM Kirumba umezungukwa na ofsi sizizopungua 50
Na office ya Pamba Jiji ipo hapo
Kama walikuwa wanatimiza majukumu Yao ulitaka waende wapi
 
IQ makes some one to be employed but EGO and Emotions makes some one fired.
 
Kw

Kwakuwa wew ni mwanayanga,umefumba macho alienda kufanya nini uwanjani?
Sasa si umsikie na mhusika mwenyewe, ili uifahamu sababu iliyompeleka uwanjani! Au wewe unamsikiliza Ahmed Ally peke yake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…