Mributz
Senior Member
- Aug 29, 2022
- 177
- 527
SIMBA SC ROBO FAINALI KOMBE LA DUNIA
Klabu ya Simba Sc kutoka Tanzania imetinga hatua ya Robo Fainali ya Kombe la Dunia linaloendele kwenye mtandao wa Twitter likiendeshwa na mtandao wa Deportes &Finanzas kutoka Brazil likihusisha vilabu vyenye wafuasi wengi kwenye mitandao ya kijamii.
Kombe Hilo limehusisha vilabu mbalimbali duniani vikowemo vilabu vikubwa kutoka Bara la Ulaya ikiwemo, Real Madrid, Manchester United, Liverpool na linaendeshwa kwa watu kupiga kura kwa kuichagua timu moja wapo kati ya mbili zitakazokutanishwa.
Kutoka Tanzania Simba ndio Timu pekee inayoshiriki Kombe hilo kutoka na kuwa ndiyo klabu yenye wafuasi wengi zaidi kwenye mitandao ya kijamii.
Simba ilicheza jana Aprili 12 hatua ya 16 bora dhidi ya Nacional ya Uruguay na kufanikiwa kupata kura Sawa na 65% huku Nacional wakipata 35% hivyo ikafanikiwa kutinga hatua ya robo fainali ambapo itakutana na River Plate ya Argentina.
Michezo mingine ya hatua ya 16 bora inayoendele leo Aprili 13, ni Fenerbahçe dhidi ya Real Mardid na Kerala B. dhidi ya Allianza Lima.
Klabu ya Simba Sc kutoka Tanzania imetinga hatua ya Robo Fainali ya Kombe la Dunia linaloendele kwenye mtandao wa Twitter likiendeshwa na mtandao wa Deportes &Finanzas kutoka Brazil likihusisha vilabu vyenye wafuasi wengi kwenye mitandao ya kijamii.
Kombe Hilo limehusisha vilabu mbalimbali duniani vikowemo vilabu vikubwa kutoka Bara la Ulaya ikiwemo, Real Madrid, Manchester United, Liverpool na linaendeshwa kwa watu kupiga kura kwa kuichagua timu moja wapo kati ya mbili zitakazokutanishwa.
Kutoka Tanzania Simba ndio Timu pekee inayoshiriki Kombe hilo kutoka na kuwa ndiyo klabu yenye wafuasi wengi zaidi kwenye mitandao ya kijamii.
Simba ilicheza jana Aprili 12 hatua ya 16 bora dhidi ya Nacional ya Uruguay na kufanikiwa kupata kura Sawa na 65% huku Nacional wakipata 35% hivyo ikafanikiwa kutinga hatua ya robo fainali ambapo itakutana na River Plate ya Argentina.
Michezo mingine ya hatua ya 16 bora inayoendele leo Aprili 13, ni Fenerbahçe dhidi ya Real Mardid na Kerala B. dhidi ya Allianza Lima.