Tetesi: Simba SC yatumia zaidi ya 1.8 Billioni kuweka kambi Dubai

Tetesi: Simba SC yatumia zaidi ya 1.8 Billioni kuweka kambi Dubai

Kweli tajiri apangiwi lakini kama mleta bandiko ana uhakika na taarifa alizoleta basi Kuna shida sehemu, Mwekezaji wa Simba hawezi kutoa Bilion 1.8 Kwa Siku 8 kama msaada, yaani Bure bila gharama yoyote!!
Ata Mimi siamini Kwa muda walio Kaa na fedha walizotumia haini ingii akilini labda sio Bilioni 1.8 ninayo ifahamu Mimi.
kama ni kweli ,basi huo ni mchezo wa mahesabu,ionekane klabu imefanya matumizi hayo, watasema hayo ktk kutoa ripoti ya fedha ktk mkutano mkuu wa uchaguzi
 
Ulichangia hata senti moja? Msiwapangie watu matumizi ya pesa zao,ukuda wenu ndiyo maana mnamegewa wake zenu
Hapangiwi,asidanganye ,akidanganya Kama utamaduni wake lazima watu wahoji.
 
DATAZ SIMBA ni timu kubwa na yenye uelewa mkubwa wa kutosha kwenye mipango yao tofauti kabisa na hawa vilaza wa mitandaoni
Siku mkijua tofauti ya utajiri wa Mo na Simba.
Mapato ya Simba yaliyo wazi Mbet Ni bilioni 4.6+, AZam media milioni 385,vunja Bei bilioni 1+.
Yanga Sportpesa bilioni 4.2+,Azam media bilioni 4.1+,GSM(merchandise na matangazo)bilioni 2+.
Hayo Ni mapato makubwa ya Simba na Yanga kupitia wadhamini.sio ufadhili au misaada.
Tofautisha fedha za MO & family na GSM.na zile za Simba na Yanga.
Simba Leo iko chini kimapato kuliko yanga ndio maana kila kitu wanaomba kwa mo.yanga anaamua Hersi sio gsm.
 
Yaah, Simba ni club kubwa ndio, lakini kiasi hiki kinafikirisha sana kwenda kuweka kambi siku 8 na michezo miwili na timu ambazo "inasemekana" zili field wachezaji wa timu B.

Kuna mdau mmoja katupia swali kwenye Facebook kwamba, "Haya ni maandalizi tu au kuna cha ziada"?
Ukiona mtu analalamikia matumizi ya mwen,ake, akiona ni ufujaji na kwamba yeye angetumia vizuri zaidi kufanya mipango ujue huyo mtu ni maskini kweli kweli.

Usidhani Simba wamekurupuka kwenda Dubai na kutumia hizo pesa. Kila kitu kipo kwenye mipango yao na bajeti yao na wana huo uwezo hawana mawazo ni sawa na wewe kutoa shilingi mia mbili ya kununulia chips dume yaani muhogo.

Tafuta pesa kijana. Ukishakuwa nazo hutakuwa na woga wala mawazo ya kuzitumia.
 
Yani kweli NIJITOE TU KUSISHABIKIA HIZI TIMU.

1. Kwanza Budget Hiyo ni Uongo Haina uhalisia.

2. Bora Fedha ya kwenda Dubai wangesajili wachezaji wazuri, na kuivunja mikataba ya akina Okra, Banda, kanute.

3. Usajili wa Hawa wachezaji watatu wote Wana Changamoto. Umri na uwezo.

I. Saidoo ni Mchezaji mzuri sana ila TATIZO ni umri na nidhamu.

ii. Baleke ni Mchezaji aliyeachwa na Mazembe kwa Mkopo, yani ni Mchezaji wa kuunga unga tu Hana uhakika.
Ni mchezaji wa mkopo.

Wamemchukua Huyu Baada ya kuchemka kuwapata Adebayor, Manzoki.

Viongozi ni WABABAISHAJI sana

iii. Sawadogo. Kiungo anaefananishwa na Aucho, Mafisango. Hajacheza karibu Mwaka mzima.
Amekuja Baada ya KUSHINDWA kumpata kiungo wa TP Mazembe.

MO NI MUONGO SANA
Wewe hela inakuuma umechangia kiasi gani?
 
Hapangiwi,asidanganye ,akidanganya Kama utamaduni wake lazima watu wahoji.
Utahoji kwani hela aliyotumia umechangia kiasi gani? Fanyeni kazi mpate fedha siyo kutolea udenda hela za watu wengine
 
Simba pale wamejaa viongozi waongo waongo tu.. Iyo ela nani katoa?Wameshindwa kununua bus hata la million 200, wameshindwa kumsajili mchezaji kipenzi chao manzoki Kwa million 300
Iyo bil 1.8 wataweza wapi yakhee[emoji1787][emoji1787]

Tunataka kujua bil 20 za uwekezaji ziko wapi?
Wenye hela nyny mmemleta bobosi na miquison
 

JamiiForums





Tetesi: Simba SC yatumia zaidi ya 1.8 Billioni kuweka kambi Dubai​

First Prev2 of 2
Jump to newWatch
•••
[IMG alt="mtu chake"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/25/25419.jpg?1548670323[/IMG]

mtu chake

JF-Expert Member​

Kweli tajiri apangiwi lakini kama mleta bandiko ana uhakika na taarifa alizoleta basi Kuna shida sehemu, Mwekezaji wa Simba hawezi kutoa Bilion 1.8 Kwa Siku 8 kama msaada, yaani Bure bila gharama yoyote!!
Ata Mimi siamini Kwa muda walio Kaa na fedha walizotumia haini ingii akilini labda sio Bilioni 1.8 ninayo ifahamu Mimi.
Click to expand...
kama ni kweli ,basi huo ni mchezo wa mahesabu,ionekane klabu imefanya matumizi hayo, watasema hayo ktk kutoa ripoti ya fedha ktk mkutano mkuu wa uchaguzi

Thanks Quote Reply
Report
P

Pics

Senior Member​

Ulichangia hata senti moja? Msiwapangie watu matumizi ya pesa zao,ukuda wenu ndiyo maana mnamegewa wake zenu
Hapangiwi,asidanganye ,akidanganya Kama utamaduni wake lazima watu wahoji.

Thanks Quote Reply
Report
P

Pics

Senior Member​

@DATAZ SIMBA ni timu kubwa na yenye uelewa mkubwa wa kutosha kwenye mipango yao tofauti kabisa na hawa vilaza wa mitandaoni
#pics Siku mkijua tofauti ya utajiri wa Mo na Simba.
Mapato ya Simba yaliyo wazi Mbet Ni bilioni 4.6+, AZam media milioni 385,vunja Bei bilioni 1+.
Yanga Sportpesa bilioni 4.2+,Azam media bilioni 4.1+,GSM(merchandise na matangazo)bilioni 2+.
Hayo Ni mapato makubwa ya Simba na Yanga kupitia wadhamini.sio ufadhili au misaada.
Tofautisha fedha za MO & family na GSM.na zile za Simba na Yanga.
Simba Leo iko chini kimapato kuliko yanga ndio maana kila kitu wanaomba kwa mo.yanga anaamua Hersi sio gsm.
 
Mauzo mazuri ya sembe. Bonasi kwa punda.
JamiiForums-1049870428.jpg
 
Unahangaikia ujinga wakati hata uhakika wa milo mitatu huna.

Ubaya wa mitandao inawaruhusu makapuku, fukara na masikini kuishi ulimwengu mmoja na matajiri kama akina MO, BAKHRESA, Gharib Said.

Kupitia ulimwengu huu feki wa mitandao ya kijamii, vijana wapumbavu hupata fursa ya kuwazodoa, kuwatukana, kuwafundisha na kuwakataa mabilionea hawa na kusema watakavyo.

Vijana wenzangu wa kitanzania: tutafuteni pesa na huu ushabiki uwe kiasi tu. Tusiwekeze akili zetu kwenye mambo mengi ambayo hayatupatii vipato.

Hata SIMBA SC angetumia hiyo 1.8 b kwa usajili ungepata hata kilo moja ya mchele bure?

Zindukeni basi!
 
Back
Top Bottom