Tetesi: Simba SC yatumia zaidi ya 1.8 Billioni kuweka kambi Dubai

kama ni kweli ,basi huo ni mchezo wa mahesabu,ionekane klabu imefanya matumizi hayo, watasema hayo ktk kutoa ripoti ya fedha ktk mkutano mkuu wa uchaguzi
 
Ulichangia hata senti moja? Msiwapangie watu matumizi ya pesa zao,ukuda wenu ndiyo maana mnamegewa wake zenu
Hapangiwi,asidanganye ,akidanganya Kama utamaduni wake lazima watu wahoji.
 
DATAZ SIMBA ni timu kubwa na yenye uelewa mkubwa wa kutosha kwenye mipango yao tofauti kabisa na hawa vilaza wa mitandaoni
Siku mkijua tofauti ya utajiri wa Mo na Simba.
Mapato ya Simba yaliyo wazi Mbet Ni bilioni 4.6+, AZam media milioni 385,vunja Bei bilioni 1+.
Yanga Sportpesa bilioni 4.2+,Azam media bilioni 4.1+,GSM(merchandise na matangazo)bilioni 2+.
Hayo Ni mapato makubwa ya Simba na Yanga kupitia wadhamini.sio ufadhili au misaada.
Tofautisha fedha za MO & family na GSM.na zile za Simba na Yanga.
Simba Leo iko chini kimapato kuliko yanga ndio maana kila kitu wanaomba kwa mo.yanga anaamua Hersi sio gsm.
 
Ukiona mtu analalamikia matumizi ya mwen,ake, akiona ni ufujaji na kwamba yeye angetumia vizuri zaidi kufanya mipango ujue huyo mtu ni maskini kweli kweli.

Usidhani Simba wamekurupuka kwenda Dubai na kutumia hizo pesa. Kila kitu kipo kwenye mipango yao na bajeti yao na wana huo uwezo hawana mawazo ni sawa na wewe kutoa shilingi mia mbili ya kununulia chips dume yaani muhogo.

Tafuta pesa kijana. Ukishakuwa nazo hutakuwa na woga wala mawazo ya kuzitumia.
 
Wewe hela inakuuma umechangia kiasi gani?
 
Hapangiwi,asidanganye ,akidanganya Kama utamaduni wake lazima watu wahoji.
Utahoji kwani hela aliyotumia umechangia kiasi gani? Fanyeni kazi mpate fedha siyo kutolea udenda hela za watu wengine
 
Wenye hela nyny mmemleta bobosi na miquison
 






Tetesi: Simba SC yatumia zaidi ya 1.8 Billioni kuweka kambi Dubai​

First Prev2 of 2
Jump to newWatch
•••
[IMG alt="mtu chake"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/25/25419.jpg?1548670323[/IMG]

mtu chake

JF-Expert Member​

kama ni kweli ,basi huo ni mchezo wa mahesabu,ionekane klabu imefanya matumizi hayo, watasema hayo ktk kutoa ripoti ya fedha ktk mkutano mkuu wa uchaguzi

Thanks Quote Reply
Report
P

Pics

Senior Member​

Ulichangia hata senti moja? Msiwapangie watu matumizi ya pesa zao,ukuda wenu ndiyo maana mnamegewa wake zenu
Hapangiwi,asidanganye ,akidanganya Kama utamaduni wake lazima watu wahoji.

Thanks Quote Reply
Report
P

Pics

Senior Member​

@DATAZ SIMBA ni timu kubwa na yenye uelewa mkubwa wa kutosha kwenye mipango yao tofauti kabisa na hawa vilaza wa mitandaoni
#pics Siku mkijua tofauti ya utajiri wa Mo na Simba.
Mapato ya Simba yaliyo wazi Mbet Ni bilioni 4.6+, AZam media milioni 385,vunja Bei bilioni 1+.
Yanga Sportpesa bilioni 4.2+,Azam media bilioni 4.1+,GSM(merchandise na matangazo)bilioni 2+.
Hayo Ni mapato makubwa ya Simba na Yanga kupitia wadhamini.sio ufadhili au misaada.
Tofautisha fedha za MO & family na GSM.na zile za Simba na Yanga.
Simba Leo iko chini kimapato kuliko yanga ndio maana kila kitu wanaomba kwa mo.yanga anaamua Hersi sio gsm.
 
Unahangaikia ujinga wakati hata uhakika wa milo mitatu huna.

Ubaya wa mitandao inawaruhusu makapuku, fukara na masikini kuishi ulimwengu mmoja na matajiri kama akina MO, BAKHRESA, Gharib Said.

Kupitia ulimwengu huu feki wa mitandao ya kijamii, vijana wapumbavu hupata fursa ya kuwazodoa, kuwatukana, kuwafundisha na kuwakataa mabilionea hawa na kusema watakavyo.

Vijana wenzangu wa kitanzania: tutafuteni pesa na huu ushabiki uwe kiasi tu. Tusiwekeze akili zetu kwenye mambo mengi ambayo hayatupatii vipato.

Hata SIMBA SC angetumia hiyo 1.8 b kwa usajili ungepata hata kilo moja ya mchele bure?

Zindukeni basi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…