Simba SC yavunja record Tanzania

Simba SC yavunja record Tanzania

Rage alikuwa sahihi kuwaiteni lile jina lenu pendwa
Upo sahihi mkuu na ninakuunga mkono na ninaunga mkono hoja ni kama manara alivyowahi kusema yanga wenye akili wawili tu baba ake na kikwete tu wengine wote mliobakia ni "ZERO MINUS SIFURI IS EQUAL TO OH"
 
Upo sahihi mkuu na ninakuunga mkono na ninaunga mkono hoja ni kama manara alivyowahi kusema yanga wenye akili wawili tu baba ake na kikwete tu wengine wote mliobakia ni "ZERO MINUS SIFURI IS EQUAL TO OH"
Una Haki ya kuongea yote maana Kila tukikutana nimekupiga umenipa mara 4
20240531_053732.jpg
 
Samahani mkuu utakuwa umepotea njia mimi ni "CHIKOLA WA TABORA UNITED" uliyenipa juzi kati hapa nikapiga vitatu vya chapu ni juzi tu hapa umeshasahau?
Hapa sikujibu Tena ila jiandae kunipa mara 5 tukikutana masta 😀
 
Yanga hawawezi kuifikia hii rekodi hata wafanyaje ni simba tu afrika nzima ndio imeweza. Huku manula huku camara,haaahaaah
Hongereni maana ayo ndio Makombe ya u mbumbumbuni
 
4) Aziz ki yupo Yanga na kashiriki kufuzu AFCON na Burkina Faso imefuzu AFCON
Aziz Ki alikuwa jukwaani kwa Mkapa, tena akakata tiketi ya mzunguko, wahuni wakamchukulia simu yake
 
Aziz Ki alikuwa jukwaani kwa Mkapa, tena akakata tiketi ya mzunguko, wahuni wakamchukulia simu yake
Nimeandika kuwa Aziz Ki kashiriki kufuzu AFCON. Sasa unakataa kuwa hakushiriki? Unajua kabla ya mechi ya juzi, Burkina Faso ilikuwa imeshafuzu kucheza michuano ya AFCON na Aziz Ki aliitwa kwenye mechi zote za nyuma na zingine kacheza. Uwe unaelewa maana ya neno kushiriki
 
Mechi ya jana kati ya Tanzania na Guinea ilikuwa na magolikipa wa simba wote malangoni na kuweka historia duniani.

Simba inakua klabu ya kwanza Tanzania makipa wake kukutana kwenye mechi moja wakiwa timu tofauti za taifa kama makipa namba moja.

Rekodi hii Yanga wanaitamani sana ila ndio ivo haiwezekani, sio rahisi hii ni rekodi mpya jijini.

View attachment 3156698
So what?
 
Back
Top Bottom