Moja ya vituko vya mwaka 2023 ni kwa Simba kuandaa sherehe ya kukata na shoka wakiwa hawana kikombe wala taji la ndondo! Sasa sifahamu wanasherekea nini na mashabiki wao hata bila kuhoji wamo tu wanaruka ruka kama tumbili aliyeshiba mahindi ya wizi.
Kwenye sherehe kama hiyo Simba wanapaswa kuonyesha makombe na siyo maneno matupu!
Maghorofa yanahusianaje na makombe na mataji ya mafanikio? Labda muulize GENTAMYCIME akujibu!Wewe Una magorofa mangapi Mjini? Tuanzie hapo
🤣🤣🙆 "Ngufu moya"Wenyewe wana Lunyasi ngufu moya wanapita kama hawajauona huu uzi!
Labda kikombe cha Mo cha kahawa!Tulia dawa ikuingie. Tunaanza kuchukua Kombe kabla hata league kuanza. Yaani kama nawaona mnavyotetemeka
Unateseka juu ya nini? Na kutokea wapi? Nani alikuambia sisi wanaSimba tunataka makombe? Sisi tunataka kuwa kwenye top 5 ya vilabu vya Afrika ila kwa sasa tuko namba 8.Moja ya vituko vya mwaka 2023 ni kwa Simba kuandaa sherehe ya kukata na shoka wakiwa hawana kikombe wala taji la ndondo! Sasa sifahamu wanasherekea nini na mashabiki wao hata bila kuhoji wamo tu wanaruka ruka kama tumbili aliyeshiba mahindi ya wizi.
Kwenye sherehe kama hiyo Simba wanapaswa kuonyesha makombe na siyo maneno matupu!
waga inashangaza mtu kuteseka na kuumia kwa mambo yasiyo muhusuMoja ya vituko vya mwaka 2023 ni kwa Simba kuandaa sherehe ya kukata na shoka wakiwa hawana kikombe wala taji la ndondo! Sasa sifahamu wanasherekea nini na mashabiki wao hata bila kuhoji wamo tu wanaruka ruka kama tumbili aliyeshiba mahindi ya wizi.
Kwenye sherehe kama hiyo Simba wanapaswa kuonyesha makombe na siyo maneno matupu!
Hivi Aden Rage aliwaambia nini mashabiki wa Makolo?Unateseka juu ya nini? Na kutokea wapi? Nani alikuambia sisi wanaSimba tunataka makombe? Sisi tunataka kuwa kwenye top 5 ya vilabu vya Afrika ila kwa sasa tuko namba 8.
Yanga ina medali lakini kwenye ubora wa timu za Afrika iko nba 19.
Ni huzuni kubwa kuandaa sherehe hewa!waga inashangaza mtu kuteseka na kuumia kwa mambo yasiyo muhusu
it's really weird
Labda nisaidie kufahamu ni lini mashabiki wa Makolo walitengana au kufarakana? Aidha ni wakati gani hawakutekeleza majukumu yao kwa ufasaha? Na mwisho mapato gani yameongezeka wakati watu wameingizwa karibu na bure kwa maelezo kuwa Simba inarudisha fadhila kwa mashabiki wake!Ndio shida ya kuigaiga kila kitu kutoka simba bila hata kujua maana na umuhimu wake. Unaijua historia ya simba day na kwanini ilianzishwa?
Simba day sio parade la kusheherekea ubingwa wowote. Simba day kama hujui kwa simba ina malengo matatu.
1. Kuwaunganisha mashabiki ili kuonesha nguvu ya simba.
2. Kupeleka ujumbe kwa wachezaji na viongozi kwamba wanapaswa kufanya majukumu yao kwa ufasaha na kuwapa hamasa.
3. Kuongeza kipato cha simba.
SASA KAMA NYIE MMEKURUPUKA TU KUIGAIGA MSIYOYAJUA MKAJIPANGE UPYA.
Nimejawa na huzuni kubwa!Mkuu inakuumiza sana bila shaka!
Bure kabisa. Kifupi umeuliza maswali hata junior wangu wa miaka miwili angejiongeza kabla hajauliza. Rubbish.Labda nisaidie kufahamu ni lini mashabiki wa Makolo walitengana au kufarakana? Aidha ni wakati gani hawakutekeleza majukumu yao kwa ufasaha? Na mwisho mapato gani yameongezeka wakati watu wameingizwa karibu na bure kwa maelezo kuwa Simba inarudisha fadhila kwa mashabiki wake!
Haikuhusu tuliza mshonoMoja ya vituko vya mwaka 2023 ni kwa Simba kuandaa sherehe ya kukata na shoka wakiwa hawana kikombe wala taji la ndondo! Sasa sifahamu wanasherekea nini na mashabiki wao hata bila kuhoji wamo tu wanaruka ruka kama tumbili aliyeshiba mahindi ya wizi.
Kwenye sherehe kama hiyo Simba wanapaswa kuonyesha makombe na siyo maneno matupu!