Simba sherehe kubwa Makombe na Mataji sifuri!

Simba sherehe kubwa Makombe na Mataji sifuri!

Mimi nina akili zangu timamu, naomba twende sawa kwa kujibu hoja zifuatazo

1. CAF wanahesabu point za klab kwa muda gani?

2. Je unajua kuwa kwa msimu huu pekee simba kakusanya point 15 kwa kuishia robo fainali na yanga kukusanya point 20 kwa kucheza fainali?

3. Je, wakati simba anakusanya poimt 10 miaka ya nyuma yanga ilikuwa haijaanzishwa?

4. Kama ilikuwepo nini kilitokea mpaka isikusanye point hata moja?

5. Vipi kuhusu ubora wa klab kwa ranking za kimataifa?
1. Nadhani kila msimu points zinakusanywa.

2. Najua kuhusu Yanga, Sina uhakika na points mlizokusanya nyie msimu uliopita.

3 & 4. Ilikuwa imeanzishwa, ila performance yake haikuwa nzuri.

5. Ranking Simba Iko juu zaidi ya Yanga, hii ni kutokana na performance yenu kwa kipindi cha miaka 5 iliyopita.

Sasa turudi kwenye hoja ya msingi iliyokuwepo mezani. Nyie mna points 35, mmetumia muda gani kuzikusanya, mkilinganisha na sisi wenye 20?
 
Mimi nina akili zangu timamu, naomba twende sawa kwa kujibu hoja zifuatazo

1. CAF wanahesabu point za klab kwa muda gani?

2. Je unajua kuwa kwa msimu huu pekee simba kakusanya point 15 kwa kuishia robo fainali na yanga kukusanya point 20 kwa kucheza fainali?

3. Je, wakati simba anakusanya poimt 10 miaka ya nyuma yanga ilikuwa haijaanzishwa?

4. Kama ilikuwepo nini kilitokea mpaka isikusanye point hata moja?

5. Vipi kuhusu ubora wa klab kwa ranking za kimataifa?
Acha longolongo mashabiki wanataka kuona makombe na mataji. Siku ya Mwananchi Yanga wameonyesha makombe, ngao na medali! Simba wameonyesha nini zaidi ya kumshalilisha albino!
 
Mimi nina akili zangu timamu, naomba twende sawa kwa kujibu hoja zifuatazo

1. CAF wanahesabu point za klab kwa muda gani?

2. Je unajua kuwa kwa msimu huu pekee simba kakusanya point 15 kwa kuishia robo fainali na yanga kukusanya point 20 kwa kucheza fainali?

3. Je, wakati simba anakusanya poimt 10 miaka ya nyuma yanga ilikuwa haijaanzishwa?

4. Kama ilikuwepo nini kilitokea mpaka isikusanye point hata moja?

5. Vipi kuhusu ubora wa klab kwa ranking za kimataifa?
Halafu makombe mangapi?
 
Moja ya vituko vya mwaka 2023 ni kwa Simba kuandaa sherehe ya kukata na shoka wakiwa hawana kikombe wala taji la ndondo! Sasa sifahamu wanasherekea nini na mashabiki wao hata bila kuhoji wamo tu wanaruka ruka kama tumbili aliyeshiba mahindi ya wizi.

Kwenye sherehe kama hiyo Simba wanapaswa kuonyesha makombe na siyo maneno matupu!
Umia tu. Maumivu yakizidi kunywa maji , pumzika!

Ndiyo hivyo tamasha lilifana Sana.

Nb. Jana kwenye documentary mmeshindwa hata kujaza ukumbi wa sinema!
 
Umia tu. Maumivu yakizidi kunywa maji , pumzika!

Ndiyo hivyo tamasha lilifana Sana.

Nb. Jana kwenye documentary mmeshindwa hata kujaza ukumbi wa sinema!
Halafu Samia mkamuonyesha albino badala ya makombe na mataji!
 
Kwani simba day ni kwa ajali ya kutambulisha kikosi kipya au kwa ajili ya kuonyesha makombe?
 
Hayo waloyochukua zaidi ya 20 ni mabakuli? Unatiririka tu ka utoko!
 
Hivi Aden Rage aliwaambia nini mashabiki wa Makolo?
Kwani yule kocha aliyewapeleka Fifa na kutakiwa mumlipe mpunga wa nusu bajeti yenu aliwaambia nini kabla hajaondoka mashabiki wa Utopwinyo?
 
Kwani simba day ni kwa ajali ya kutambulisha kikosi kipya au kwa ajili ya kuonyesha makombe?
Sherehe ni kwa ajili ya kuonyesha mafanikio ya msimu uliopita na kuweka hadharani mikakati ya msimu unaofuata.
 
Kwani yule kocha aliyewapeleka Fifa na kutakiwa mumlipe mpunga wa nusu bajeti yenu aliwaambia nini kabla hajaondoka mashabiki wa Utopwinyo?
Hapa inajadiliwa Simba yaani Makolo kuwa ni mbumbumbu na mnasherekea sifuri!
 
Kweli Ashura cheupe na kocha wa makombe walikuwa sawa kabsa kwa zile kauli zao.
 
Kweli Ashura cheupe na kocha wa makombe walikuwa sawa kabsa kwa zile kauli zao.
Makombe na medali kwa timu za mpira ndiyo furaha kwa mashabiki na wala siyo matamasha ya wasanii wa mziki!
 
Moja ya vituko vya mwaka 2023 ni kwa Simba kuandaa sherehe ya kukata na shoka wakiwa hawana kikombe
1691560058859.png
 
Kilichofanywa na Yanga leo mbele ya Azam ndiyo furaha ya mashabiki na siyo kusherehekea matamasha ya wasanii!
 
Moja ya vituko vya mwaka 2023 ni kwa Simba kuandaa sherehe ya kukata na shoka wakiwa hawana kikombe wala taji la ndondo! Sasa sifahamu wanasherekea nini na mashabiki wao hata bila kuhoji wamo tu wanaruka ruka kama tumbili aliyeshiba mahindi ya wizi.

Kwenye sherehe kama hiyo Simba wanapaswa kuonyesha makombe na siyo maneno matupu!
Eti wanaruka ruka TU kama tumbuli aliyeshiba MAHINDI ya wizi....[emoji1787][emoji1787]HUKU AKIWA MBUMBUMBU HAIJUI KESHO YAKE(WE JAMAA NIMECHEKA SANA,HUKU NIKIWAONA WANAVYORUKARUKA KITUMBILI)
 
Back
Top Bottom