Simba sherehe kubwa Makombe na Mataji sifuri!

Simba sherehe kubwa Makombe na Mataji sifuri!

Nimesikitika kwa ulichokiandika, ama kweli Rage alikuwa sahihi.

Umedandia majadiliano ambayo hayakuwa yako, alaf unajizima data.

Kuna sehemu nimesema 20 ni kubwa kuliko 35?. Kuna sehemu nimeongelea habari za position ya Yanga 18 au Simba 8?. Labda kwavile wewe ni mgumu kuelewa, ngoja nikuulize swali, msimu uliopita timu yako imekusanya points ngapi CAF?
Endeleeni kujifariji utopolo FC. Mkija kushituka Simba itakuwa kwenye timu 5 bora barani Afrika.
Hapo Yanga ana makombe yote ya ligi kuu, mapinduzi na ngao.
 
Endeleeni kujifariji utopolo FC. Mkija kushituka Simba itakuwa kwenye timu 5 bora barani Afrika.
Hapo Yanga ana makombe yote ya ligi kuu, mapinduzi na ngao.
Nimekuuliza msimu uliopita timu yako imekusanya points ngapi CAF? Acha kuzunguka, naomba unijibu
 
Mpira ni burudani wala siyo uadui. Utazeeka mapema.
Simba haina medali, haina makombe wa ngao ya jamii. Msimu uliopita Yanga alichukua kombe na ngao.
Pamoja na hayo, kaangalie timu bora Afrika, simba ni ya ngapi na nyie wenye makombe na medali ni wa ngapi?
Wewe komaa na makombe halafu mwisho wa siku utakuja kuiona Simba ipo kwenye timu bora 5 za Africa.
Acha kuteseka sana
Jidanganye hivyo hivyo
 
Kucheza
1. CAF champion league mpk robo fainail ni zaidi ya makombe
2. African super cup ni zaidi ya makombe
3. Kuwa kwenye 10 bora za timu bora Afrika ni moja ya makombe.
A. Hayo makombe Simba haijawahi kuchukua?
B. Hayo makombe ambayo yanga amechukua, yanafika 4 bilion alizopewa Simba km hela ya maandalizi ya kucheza African Super Cup?
Haya ni makombe yako.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Ndiyo utajiuliza kwanini Yanga imecheza mpk fainali shirikisho halafu haipo kwenye African Super cup na Simba iliyocheza Kombe la washindi mpk robo fainali ipo African super cup?
Mkajipange tena. Hiyo ndiyo Simba, hayo makombe Simba ameshachukua sana. Mtajua kuwa Yanga anakimbiza mwenge tu.
Thamani ya hayo makombe yanaweza kufikia Bilion 4 alizochukua Simba kwenda kucheza African Super Cup?
Makombe mnayoizidi nayo Yanga ni makombe ya Hedex.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Hayo mataji aliyochukua Yanga ni ya mchongo.
Huwezi kujigamba una mataji na makombe halafu ukacheza kombe la washindi wa 3 na 4 na waliotolewa CAF champion league.
Malumo timu bora kwenu ameshuka daraja.
Kama ni mashindano marahisi, tuambie mllivyoshiriki mliishia hatua gani?

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Moja ya vituko vya mwaka 2023 ni kwa Simba kuandaa sherehe ya kukata na shoka wakiwa hawana kikombe wala taji la ndondo! Sasa sifahamu wanasherekea nini na mashabiki wao hata bila kuhoji wamo tu wanaruka ruka kama tumbili aliyeshiba mahindi ya wizi.

Kwenye sherehe kama hiyo Simba wanapaswa kuonyesha makombe na siyo maneno matupu!
wamevurugwa
 
Naona unateseka sana.
Kama Yanga ipo vizuri, tukutane African Super cup.
Simba inawakera watu. Mashabiki wa yanga wanateseka sana
Ndicho kikombe mnataka kutuonyesha au mnashindania kikombe?

Jitahidini mpate angalau kikombe cha kufutia machozi!
 
Ndicho kikombe mnataka kutuonyesha au mnashindania kikombe?

Jitahidini mpate angalau kikombe cha kufutia machozi!
Vikombe tunawaachia utopolo ndiyo mafanikio yao. Maana African champion league hawawezi kucheza.
2017-2021 misimu 4 mfululizo inatutosha.
Simba tunataka tuitafute list ya timu 5 bora barani Afrika.
Msimu ujao, tunaenda kuweka kambi NEW YORK CITY.
 
Vikombe tunawaachia utopolo ndiyo mafanikio yao. Maana African champion league hawawezi kucheza.
2017-2021 misimu 4 mfululizo inatutosha.
Simba tunataka tuitafute list ya timu 5 bora barani Afrika.
Msimu ujao, tunaenda kuweka kambi NEW YORK CITY.
Mnatia huruma! Mnasherekea barua ya mwaliko kama siyo uzuzu ni nini!

Weka makombe mezani hata kama ni la ndondo!
 
Kabla sijaukuuliza maswali nilianza kuandika kama kweli unafikira pevu twende sawa kwa kujibu hoka zangu, ila kwakuwa umeshinfwa kujibu ukakimbilia mipasho, mimi sio juha wa kukimbilia mipasho bali napenda kujibiana kwa hoja

Endelea na mipasho yako
 
Acha kutetea ujinga! Ingependeza kama kungefanyika maombolezo kujutia kukosa makombe na hivyo kutoa ishara kwa wachezaji kuwa klabu ya mpira raha yake ni kushinda makombe na siyo kukata viuno na wasanii! Vinginevyo anzisheni klabu ya wasanii mkate viuno mpaka basi!

Piga vita zero Simba!
Hiyo bold unaniongopea Mimi au wajiongopea mwenyewe mtani? Au unazungumzia makundi yapi?

Kwa miaka 5 mmekusanya points 35, sisi kwa mwaka 1 tumekusanya points 20, nani wa kufurahia hapo? [emoji28]
Mimi nina akili zangu timamu, naomba twende sawa kwa kujibu hoja zifuatazo

1. CAF wanahesabu point za klab kwa muda gani?

2. Je unajua kuwa kwa msimu huu pekee simba kakusanya point 15 kwa kuishia robo fainali na yanga kukusanya point 20 kwa kucheza fainali?

3. Je, wakati simba anakusanya poimt 10 miaka ya nyuma yanga ilikuwa haijaanzishwa?

4. Kama ilikuwepo nini kilitokea mpaka isikusanye point hata moja?

5. Vipi kuhusu ubora wa klab kwa ranking za kimataifa?
 
Umetumia miaka 5 kupata hizo points 35. Mimi nimetumia mwaka mmoja kufikia points 20. Kwa maana nyingine, kabla msimu uliopita haujaanza, Mimi nilikuwa na points 0.5, ila msimu unaisha nina 20.

Umeelewa ninachozungumzia au nikupe muda?
Kumbe akili unazo alafu unajichetua, hiyo 0.5 ulitumia miaka mingapi kuipata?
 
Kumbe akili unazo alafu unajichetua, hiyo 0.5 ulitumia miaka mingapi kuipata?
Sasa wewe ndio unajichetua mkuu, maana ulidandia mada juu kwa juu, otherwise usingeuliza ili swali.

Rejea mwanzo wa huu mjadala.
 
Back
Top Bottom