- Thread starter
- #41
Badala ya kuomboleza mnasherekea, hivi mna akili sawa sawa kweli?Wewe ni utopolo FC kweli tena wale lia lia.
Pamoja na vikombe vyote lkn bado timu bora barani Afrika kutoka Tanzania ni Simba.
Ngoja wanaume tukacheze African Super cup, wewe ubaki na vikombe vyako vya milion 200