Simba sherehe kubwa Makombe na Mataji sifuri!

Simba sherehe kubwa Makombe na Mataji sifuri!

Team bora ulaya haziwekuwemo kwenye mpango wa super league ndo maana wenzetu wakaona ni ushuzi wakapiga chini

Huku utakuta kolo linacheka kama nibishu kubwa

Man city
Psg
Atletico
Buyern
Leipzig
N.k
Hazikuwepo
Hayo mataji aliyochukua Yanga ni ya mchongo.
Huwezi kujigamba una mataji na makombe halafu ukacheza kombe la washindi wa 3 na 4 na waliotolewa CAF champion league.
Malumo timu bora kwenu ameshuka daraja
* Ubora wa timu ya Yanga tunaupima wapi km ndiyo alicheza shirikisho*?
 
Hayo mataji aliyochukua Yanga ni ya mchongo.
Huwezi kujigamba una mataji na makombe halafu ukacheza kombe la washindi wa 3 na 4 na waliotolewa CAF champion league.
Malumo timu bora kwenu ameshuka daraja
* Ubora wa timu ya Yanga tunaupima wapi km ndiyo alicheza shirikisho*?
NBC premier league
ASFC
Community shield
Simba hakushiriki

Kweli mbumbumbu ni mbumbumbu tu
 
Mimi ni mdau WA soka.
Na mpenzi WA Simba.

NAUNGA MKONO HOJA.
UMEANDIKA KWELI TUPU.
WANAAMINI TIMU YAO IMEFUFUKA KUMBE IMEFANYA USAJILI WA HOVYO
 
Hayo mataji aliyochukua Yanga ni ya mchongo.
Huwezi kujigamba una mataji na makombe halafu ukacheza kombe la washindi wa 3 na 4 na waliotolewa CAF champion league.
Malumo timu bora kwenu ameshuka daraja.
Mataji na makombe ambayo Simba hakufua dafu ni ya mchongo! Sasa kwa nini mlishiriki halafu mkaambulia sifuri!
 
Mimi ni mdau WA soka.
Na mpenzi WA Simba.

NAUNGA MKONO HOJA.
UMEANDIKA KWELI TUPU.
WANAAMINI TIMU YAO IMEFUFUKA KUMBE IMEFANYA USAJILI WA HOVYO
Sawa usijali wa hovyo.
Kama Yanga ipo vizuri kwanini ilicheza shirikisho?
 
Kucheza
1. CAF champion league mpk robo fainail ni zaidi ya makombe
2. African super cup ni zaidi ya makombe
3. Kuwa kwenye 10 bora za timu bora Afrika ni moja ya makombe.
A. Hayo makombe Simba haijawahi kuchukua?
B. Hayo makombe ambayo yanga amechukua, yanafika 4 bilion alizopewa Simba km hela ya maandalizi ya kucheza African Super Cup?
We kweli kichaaa
 
Usitufokee kaa kwa kutulia ukweli ni kwamba sisi ndio tumeshika ukurasa wa nchi kwa mwezi mzima mfululizo tuna jambo letu kesho [emoji950]
 
Shangaa na wewe 😱
Yanga walichukua makombe hata msimu uliopita walichukua.
Kwanini sasa mlitolewa CAF champion league kwenye mechi mbili?
Ubora wa Yanga tunaupima wapi?
Google tumu bora za Afrika utajua Simba ni nani
 
Shirikisho ni kombe la Afrika au la Tanzania?
Usipoteze nguvu zako hapo chief....! Kama anajisifia kushiriki mashindano na si kutwaa mataji huoni kuna kitu kimemiss kwa mtaalam hapo?.. Mtu anajisifia rank? [emoji119]
 
Moja ya vituko vya mwaka 2023 ni kwa Simba kuandaa sherehe ya kukata na shoka wakiwa hawana kikombe wala taji la ndondo! Sasa sifahamu wanasherekea nini na mashabiki wao hata bila kuhoji wamo tu wanaruka ruka kama tumbili aliyeshiba mahindi ya wizi.

Kwenye sherehe kama hiyo Simba wanapaswa kuonyesha makombe na siyo maneno matupu!
Unateseka ukowa wapi ??? Tujue kwanza
 
Yanga walichukua makombe hata msimu uliopita walichukua.
Kwanini sasa mlitolewa CAF champion league kwenye mechi mbili?
Ubora wa Yanga tunaupima wapi?
Google tumu bora za Afrika utajua Simba ni nani
Ubora wa Yanga ni makombe matatu na kufika fainali ya kombe la shirikisho la Afrika!

Udhaifu wa Simba ni kuzungusha yaani makombe sifuri!
 
We kweli kichaaa
Kweli wewe ni utopolo. Imewauma sana Simba kufanya sherehe, msimu huu Yanga inabidi irudi mapema icheze hapa bongo
Hiyo level Utopolo atapasikia tu hagusi huko.
Hivi vikombe ambavyo timu ilianza kuchukua kitambo bado kwenu mnaona ufahari sana?
 
Back
Top Bottom