THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 2,224
- 4,472
Jioneee halaf shusha Reply yako.
JEZI YA BOSS LA B20 MO EXTRA KILA KONA.
Si walisema hawa kua Wenyewe hua hawawek Mdhamini Mwingine Mashindano ya kimataifa ni VISIT TANZANIA tu Ili kumuunga Mkono SAMIA saiv imekuaje?
#Yanga imewafunza nahisi
Itakuwa Uzalendo umewashinda
Tapeli yule ila nampomgeza hata ningekuwa mimi ndo Mo na ninajua kabisa hawa ni mbumbumbu ningeweka Mo extra hata kwenye nembo ya clubDuuuh hii imekaaje kibiashara mdhamini kukaa sehemu mbili kwenye jezi moja?! Mo Extra si ilikuepo toka zamani hilo li Mo Extra kubwa kifuani lina utofauti gani na hicho ki Mo Extra kidogo hapo pembeni?! Kanji katoa mpunga hapo kifuani au kawekwa tu kujaza nafasi?!
Mbona nye mliiga mkaweka visit Zanzibar?Jioneee halaf shusha Reply yako.
JEZI YA BOSS LA B20 MO EXTRA KILA KONA.
Si walisema hawa kua Wenyewe hua hawawek Mdhamini Mwingine Mashindano ya kimataifa ni VISIT TANZANIA tu Ili kumuunga Mkono SAMIA saiv imekuaje?
#Yanga imewafunza nahisi
View attachment 2821654
Dili na nilichosema MkuuMbona nye mliiga mkaweka visit Zanzibar?
Kama una nenda makao makuu dhamini timu ukitaka hata picha ya mke wako itawekwa kifuani
Sent using Jamii Forums mobile app
Umefika mwisho, Maokoto MhimuUzalendo una kipimo.
MAKOLO KOLO😁Duh, hicho kilogo kidogo cha Mo Extra kimeharibu zaidi jezi.
Yani Sisi tunapiga tu hadi wafeee😁😁Mkuu wapunzishe bado wanaweweseka na lile kono la nyani
Wali wamesema? Group stage CAF hawaruhusu matangazo ya betting kifuani, unakuja conclusion umejuaje Mo kaweka hela kuweka tangazo kifuani au kila kitu unachoona unakata tu maunoDili na nilichosema Mkuu
Kaka umeandika haraka mnooo edit nirudi kukujibu huelewekiWali wamesema? Group stage CAF hawaruhusu matangazo ya betting kifuani, unakuja conclusion umejuaje Mo kaweka hela kuweka tangazo kifuani au kila kitu unachoona unakata tu mauno
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila kama jezi ndio hii nitamuona Kanjibhai kachemka kwa sababu kuna ulazima gani kuweka charter mbili zinafanana zote kwenye upande wa mbele. Au ndo anamaanisha kuna MO XTRA chupa kubwa na ndogo?😀😀😀Jioneee halaf shusha Reply yako.
JEZI YA BOSS LA B20 MO EXTRA KILA KONA.
Si walisema hawa kua Wenyewe hua hawawek Mdhamini Mwingine Mashindano ya kimataifa ni VISIT TANZANIA tu Ili kumuunga Mkono SAMIA saiv imekuaje?
#Yanga imewafunza nahisi
View attachment 2821654
Labda anamaanisha kuna MO XTRA chupa kubwa na ndogo😋😋😋Mo extra mbili mbili kwenye jezi🤣