Simba si mlisema nyie wazalendo ndio maana hua mnaweka "Visit Tanzania". Kipo wapi sasa hivi?

Simba si mlisema nyie wazalendo ndio maana hua mnaweka "Visit Tanzania". Kipo wapi sasa hivi?

Ila kama jezi ndio hii nitamuona Kanjibhai kachemka kwa sababu kuna ulazima gani kuweka charter mbili zinafanana zote kwenye upande wa mbele. Au ndo anamaanisha kuna MO XTRA chupa kubwa na ndogo?😀😀😀
Una hoja usikilizwe😁😁
 
Duuuh hii imekaaje kibiashara mdhamini kukaa sehemu mbili kwenye jezi moja?! Mo Extra si ilikuepo toka zamani hilo li Mo Extra kubwa kifuani lina utofauti gani na hicho ki Mo Extra kidogo hapo pembeni?! Kanji katoa mpunga hapo kifuani au kawekwa tu kujaza nafasi?!
Hiyo kibwa ni mo extra ya buku, hiyo ndogo ni ya jero
 
Labda wameweka huko nyuma Ageuke tuine
Jioneee halaf shusha Reply yako.
JEZI YA BOSS LA B20 MO EXTRA KILA KONA.
Si walisema hawa kua Wenyewe hua hawawek Mdhamini Mwingine Mashindano ya kimataifa ni VISIT TANZANIA tu Ili kumuunga Mkono SAMIA saiv imekuaje?


#Yanga imewafunza nahisi

View attachment 2821654
 
Jioneee halaf shusha Reply yako.
JEZI YA BOSS LA B20 MO EXTRA KILA KONA.
Si walisema hawa kua Wenyewe hua hawawek Mdhamini Mwingine Mashindano ya kimataifa ni VISIT TANZANIA tu Ili kumuunga Mkono SAMIA saiv imekuaje?


#Yanga imewafunza nahisi

View attachment 2821654
Kwa kuwa mimi ni mdau wa lugha ya Kiswahili, ningeomba Mods wasaidie kurekebisha maandishi ya thread hii ili iwe sanifu.

Vinginevyo ishushwe tu, haiwezekani jukwaa kubwa kama hili likawa na post isiyozingatia usahihi wa herufi na maneno ya lugha yetu ya Taifa.

Ova
 
Kwa kuwa mimi ni mdau wa lugha ya Kiswahili, ningeomba Mods wasaidie kurekebisha maandishi ya thread hii ili iwe sanifu.

Vinginevyo ishushwe tu, haiwezekani jukwaa kubwa kama hili likawa na post isiyozingatia usahihi wa herufi na maneno ya lugha yetu ya Taifa.

Ova
B… acha siasa, sio kwamba jamaa amesema yaliyokuchoma kumoyo umekosa cha kumjibu unatafuta sababu dhaifu?
 
Jioneee halaf shusha Reply yako.
JEZI YA BOSS LA B20 MO EXTRA KILA KONA.
Si walisema hawa kua Wenyewe hua hawawek Mdhamini Mwingine Mashindano ya kimataifa ni VISIT TANZANIA tu Ili kumuunga Mkono SAMIA saiv imekuaje?


#Yanga imewafunza nahisi

View attachment 2821654

Ila wanasimba mkubali tu anachowafanyia mwekezaji wenu, siyo poa hata kidogo. Yaani jezi imechafuka kwa matangazo yake, halafu mwisho wa siku anawalete golikipa garasa kama Ayubu kwa bilioni 3!!

This is unfair. 🙁
 
Kwa kuwa mimi ni mdau wa lugha ya Kiswahili, ningeomba Mods wasaidie kurekebisha maandishi ya thread hii ili iwe sanifu.

Vinginevyo ishushwe tu, haiwezekani jukwaa kubwa kama hili likawa na post isiyozingatia usahihi wa herufi na maneno ya lugha yetu ya Taifa.

Ova
Kwamba we ni BAKITA?
 
Screenshot_20231122-202050.png
 
Duuuh hii imekaaje kibiashara mdhamini kukaa sehemu mbili kwenye jezi moja?! Mo Extra si ilikuepo toka zamani hilo li Mo Extra kubwa kifuani lina utofauti gani na hicho ki Mo Extra kidogo hapo pembeni?! Kanji katoa mpunga hapo kifuani au kawekwa tu kujaza nafasi?!
Ndogo ni Ile ya mia 500 Mo extra kubwa hiyo ni Ile ya Mia 600 mkuu
 
Back
Top Bottom