Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una hoja usikilizwe😁😁Ila kama jezi ndio hii nitamuona Kanjibhai kachemka kwa sababu kuna ulazima gani kuweka charter mbili zinafanana zote kwenye upande wa mbele. Au ndo anamaanisha kuna MO XTRA chupa kubwa na ndogo?😀😀😀
Boss 5 zimemvuruga 😁😁Mo extra mbili mbili kwenye jezi🤣
Hiyo kibwa ni mo extra ya buku, hiyo ndogo ni ya jeroDuuuh hii imekaaje kibiashara mdhamini kukaa sehemu mbili kwenye jezi moja?! Mo Extra si ilikuepo toka zamani hilo li Mo Extra kubwa kifuani lina utofauti gani na hicho ki Mo Extra kidogo hapo pembeni?! Kanji katoa mpunga hapo kifuani au kawekwa tu kujaza nafasi?!
Jioneee halaf shusha Reply yako.
JEZI YA BOSS LA B20 MO EXTRA KILA KONA.
Si walisema hawa kua Wenyewe hua hawawek Mdhamini Mwingine Mashindano ya kimataifa ni VISIT TANZANIA tu Ili kumuunga Mkono SAMIA saiv imekuaje?
#Yanga imewafunza nahisi
View attachment 2821654
Kwa kuwa mimi ni mdau wa lugha ya Kiswahili, ningeomba Mods wasaidie kurekebisha maandishi ya thread hii ili iwe sanifu.Jioneee halaf shusha Reply yako.
JEZI YA BOSS LA B20 MO EXTRA KILA KONA.
Si walisema hawa kua Wenyewe hua hawawek Mdhamini Mwingine Mashindano ya kimataifa ni VISIT TANZANIA tu Ili kumuunga Mkono SAMIA saiv imekuaje?
#Yanga imewafunza nahisi
View attachment 2821654
B… acha siasa, sio kwamba jamaa amesema yaliyokuchoma kumoyo umekosa cha kumjibu unatafuta sababu dhaifu?Kwa kuwa mimi ni mdau wa lugha ya Kiswahili, ningeomba Mods wasaidie kurekebisha maandishi ya thread hii ili iwe sanifu.
Vinginevyo ishushwe tu, haiwezekani jukwaa kubwa kama hili likawa na post isiyozingatia usahihi wa herufi na maneno ya lugha yetu ya Taifa.
Ova
Jioneee halaf shusha Reply yako.
JEZI YA BOSS LA B20 MO EXTRA KILA KONA.
Si walisema hawa kua Wenyewe hua hawawek Mdhamini Mwingine Mashindano ya kimataifa ni VISIT TANZANIA tu Ili kumuunga Mkono SAMIA saiv imekuaje?
#Yanga imewafunza nahisi
View attachment 2821654
wamevumilie goli tano washindwe kuvumilia mo extra mbili yani hao hata zingekuwa mo extra 6 wala wasingehoji.Mo extra mbili mbili kwenye jezi🤣
Kwamba we ni BAKITA?Kwa kuwa mimi ni mdau wa lugha ya Kiswahili, ningeomba Mods wasaidie kurekebisha maandishi ya thread hii ili iwe sanifu.
Vinginevyo ishushwe tu, haiwezekani jukwaa kubwa kama hili likawa na post isiyozingatia usahihi wa herufi na maneno ya lugha yetu ya Taifa.
Ova
Jezi kama Dekio😁wamevumilie goli tano washindwe kuvumilia mo extra mbili yani hao hata zingekuwa mo extra 6 wala wasingehoji.
hizoo mo extra mbili ndo zimeharibu hiloo li jezi.
Kunyweni energy ili muwe na nguvu za kuvumilia goli 5 🤪Makolo hawajielewi, kocha hawana, wameamua kutuletea jezi za energy drink, nani avai energy drink fyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
MO xtra wakipigwa tena 5 ataongeza alafu jamaa akigeuka huyo chata la MO lipo kwenye kibinda alafu kwenye hilo chata kuna mkono kwa hio MO anakua anawashika ..........😆🤪Tajiri kavurugwa
Ndogo ni Ile ya mia 500 Mo extra kubwa hiyo ni Ile ya Mia 600 mkuuDuuuh hii imekaaje kibiashara mdhamini kukaa sehemu mbili kwenye jezi moja?! Mo Extra si ilikuepo toka zamani hilo li Mo Extra kubwa kifuani lina utofauti gani na hicho ki Mo Extra kidogo hapo pembeni?! Kanji katoa mpunga hapo kifuani au kawekwa tu kujaza nafasi?!
Yani kuna kubwa na ndogo, kutokana na ujazo wa chupa. [emoji1]Mo extra mbili mbili kwenye jezi[emoji1787]
Nimeshindwa kumwelewa b..., japo nilitamani mno kumwelewa.B… acha siasa, sio kwamba jamaa amesema yaliyokuchoma kumoyo umekosa cha kumjibu unatafuta sababu dhaifu?