Simba si mlisema nyie wazalendo ndio maana hua mnaweka "Visit Tanzania". Kipo wapi sasa hivi?

Ila kama jezi ndio hii nitamuona Kanjibhai kachemka kwa sababu kuna ulazima gani kuweka charter mbili zinafanana zote kwenye upande wa mbele. Au ndo anamaanisha kuna MO XTRA chupa kubwa na ndogo?πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Mkataba wa ile mo extra ndogo ulikuwa haujaisha wakaingia mkataba mwingine
Nb: mawazo yangu tu
 
Wazee wa matapishi ni Utopolo sisi VIIT TANZANIA tumetembea nayo sana ni wakati sasa Nyani FC nao watembee nayo maana wao ni wazee wa Kuiga iga
 
Haier aliidhamini Yanga aliweka pesa ndefu,huyo mo sijui kama kaweka hata dala kwenye hayo matangazo
 
Wazee wa matapishi ni Utopolo sisi VIIT TANZANIA tumetembea nayo sana ni wakati sasa Nyani FC nao watembee nayo maana wao ni wazee wa Kuiga iga
Ita uitavyo ila angalia Mfumo wa Jezi zaYanga ulivyokaaa Design imekaa Ki Havard kabis,
Hio visit Nin unayoisemea kwa Yanga haihawekwa Buree kaaa ukijua kama mlivyokua mkifanya nyinyi na sio main sponsor kama ilivyokua nyie..Ma Popoma.
 
Sema SIMBA KUNA UFALA MWINGI SANA.
BOSS MJANJA MJANJA SANA HADI ANAHARIBU PAKUBWA PIA HANA WASHAURI THEN ANAANGALIA MASLAHI YAKE PEKEE.
SIWEZ NUNUA JEZI YA DIZAIN HIYO .
 
Sema SIMBA KUNA UFALA MWINGI SANA.
BOSS MJANJA MJANJA SANA HADI ANAHARIBU PAKUBWA PIA HANA WASHAURI THEN ANAANGALIA MASLAHI YAKE PEKEE.
SIWEZ NUNUA JEZI YA DIZAIN HIYO .
Sema SIMBA KUNA UFALA MWINGI SANA.
BOSS MJANJA MJANJA SANA HADI ANAHARIBU PAKUBWA PIA HANA WASHAURI THEN ANAANGALIA MASLAHI YAKE PEKEE.
SIWEZ NUNUA JEZI YA DIZAIN HIYO .
Mpaka mseme!!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Tapeli yule ila nampomgeza hata ningekuwa mimi ndo Mo na ninajua kabisa hawa ni mbumbumbu ningeweka Mo extra hata kwenye nembo ya club
Nimecheka sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…