Mkataba wa ile mo extra ndogo ulikuwa haujaisha wakaingia mkataba mwingineIla kama jezi ndio hii nitamuona Kanjibhai kachemka kwa sababu kuna ulazima gani kuweka charter mbili zinafanana zote kwenye upande wa mbele. Au ndo anamaanisha kuna MO XTRA chupa kubwa na ndogo?πππ
Vumilieni bado kitambo kidogoHivi hakuna mwekezaji wa Kuja Simba? MO atatuua
Na Lazima tunayaheshimu maana umewaza kwa Akili kubwa MnooπMkataba wa ile mo extra ndogo ulikuwa haujaisha wakaingia mkataba mwingine
Nb: mawazo yangu tu
Mo anawashika TπMO xtra wakipigwa tena 5 ataongeza alafu jamaa akigeuka huyo chata la MO lipo kwenye kibinda alafu kwenye hilo chata kuna mkono kwa hio MO anakua anawashika ..........ππ€ͺView attachment 2821996
Wazee wa matapishi ni Utopolo sisi VIIT TANZANIA tumetembea nayo sana ni wakati sasa Nyani FC nao watembee nayo maana wao ni wazee wa Kuiga igaJioneee halaf shusha Reply yako.
JEZI YA BOSS LA B20 MO EXTRA KILA KONA.
Si walisema hawa kua Wenyewe hua hawawek Mdhamini Mwingine Mashindano ya kimataifa ni VISIT TANZANIA tu Ili kumuunga Mkono SAMIA saiv imekuaje?
#Yanga imewafunza nahisi
View attachment 2821654
Hapa ndipo shida ilipoFree advertisement Club na bado hawathubutu kudai B20 Zao maana hawajui hata ni nani anaemiliki Timu
Mo foundation ile ileNaomba tuione hiyo jezi kwa upande wa pili, baada ya Mo Foundation kufutwa pale ilipokuwa inawekwa pamewekwa nini safari hii?
Foundation imekaa pazuri sanaMO xtra wakipigwa tena 5 ataongeza alafu jamaa akigeuka huyo chata la MO lipo kwenye kibinda alafu kwenye hilo chata kuna mkono kwa hio MO anakua anawashika ..........ππ€ͺView attachment 2821996
Haier aliidhamini Yanga aliweka pesa ndefu,huyo mo sijui kama kaweka hata dala kwenye hayo matangazoJioneee halaf shusha Reply yako.
JEZI YA BOSS LA B20 MO EXTRA KILA KONA.
Si walisema hawa kua Wenyewe hua hawawek Mdhamini Mwingine Mashindano ya kimataifa ni VISIT TANZANIA tu Ili kumuunga Mkono SAMIA saiv imekuaje?
#Yanga imewafunza nahisi
View attachment 2821654
Ita uitavyo ila angalia Mfumo wa Jezi zaYanga ulivyokaaa Design imekaa Ki Havard kabis,Wazee wa matapishi ni Utopolo sisi VIIT TANZANIA tumetembea nayo sana ni wakati sasa Nyani FC nao watembee nayo maana wao ni wazee wa Kuiga iga
Atakaekuomba mpeleke MILEMBEπUkitaka kujua jezi mbaya mpk sasa sijaombwa na mtu kumnunulia hiyo jezi ππ
Hahaha hahaAtakaekuomba mpeleke MILEMBEπ
Sema SIMBA KUNA UFALA MWINGI SANA.
BOSS MJANJA MJANJA SANA HADI ANAHARIBU PAKUBWA PIA HANA WASHAURI THEN ANAANGALIA MASLAHI YAKE PEKEE.
SIWEZ NUNUA JEZI YA DIZAIN HIYO .
Mpaka mseme!!ππππSema SIMBA KUNA UFALA MWINGI SANA.
BOSS MJANJA MJANJA SANA HADI ANAHARIBU PAKUBWA PIA HANA WASHAURI THEN ANAANGALIA MASLAHI YAKE PEKEE.
SIWEZ NUNUA JEZI YA DIZAIN HIYO .
Na bado Asec kujipigia tena.Mkuu wapunzishe bado wanaweweseka na lile kono la nyani
Nimecheka sana.Tapeli yule ila nampomgeza hata ningekuwa mimi ndo Mo na ninajua kabisa hawa ni mbumbumbu ningeweka Mo extra hata kwenye nembo ya club