wakimataifa
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 942
- 168
Ili kuweka kumbukumbu sawa, ifuatayo ni orodha ya malipo ya usajili wa wachezaji wazawa Simba Sc msimu huu.
1. Jonas Mkude = 60m
2. Said Ndemla = 30m
3. Hassan Isihaka = 30m
4. Peter Mwalyanzi = 25m
5. William Lucian = 20m
... na bado usajili unaendelea. Alafu mkuu wakimataifa ukiwa unaandika uwe unakumbuka kuweka nukta katika sentensi zako.
Kaka jamaa hana hata data na anaonekana ni mtu asiye jitambua, sijui ana bifu gani na Simba