wakimataifa
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 942
- 168
ukifatilia baadhi ya wachezaji wanavyolalamika kwa jinsi wanavyofanyia na viongozi wao utasikitika
wachezaji wazawa wanalipwa mshahara kidogo malipo ya nyumba ya kuishi wanaahidiwa hawapewi wanaofaidi simba ni wachezaji wa kigeni ndio wanapewa nyumba wakidai haki wanakaripiwa wanatishwa wanawafojia mikataba kama alivyofanyiwa mesi ukiwauelewa wa haki yako utaambiwa huna nidhamu kama yaliowatokea kina chanongo amri kiemba na wengi hawa viongozi wachunguzwe si watu wazuri nimemsikia kiongozi mmoja kwenye radio moja anasema uongo kabisa
wachezaji wazawa wanalipwa mshahara kidogo malipo ya nyumba ya kuishi wanaahidiwa hawapewi wanaofaidi simba ni wachezaji wa kigeni ndio wanapewa nyumba wakidai haki wanakaripiwa wanatishwa wanawafojia mikataba kama alivyofanyiwa mesi ukiwauelewa wa haki yako utaambiwa huna nidhamu kama yaliowatokea kina chanongo amri kiemba na wengi hawa viongozi wachunguzwe si watu wazuri nimemsikia kiongozi mmoja kwenye radio moja anasema uongo kabisa