Ajib hakuweza kuonekana star simba kwa sababu simba ina mafundi wengi na aliposikia okwi anakuja ikabidi asepe, Nyozima alionekana star yanga kwa sababu wachezaji wengi wa yanga ni wa kawaida simba unayosema aina pesa bado ilikuwa inawafunga wakati manji anawamwagia mamilioni
ila nakubaliana na wewe Omog sio kocha mzuri kwa aina ya wachezaji alionao na mpira wanaocheza haviendani