Simba Sport Club: Yanga angekuwa Na fedha Simba kombe mngelisikia!

Mlivyo wajinga huyo mchezaji wa kawaida amenunuliwa kwa hela nyingi na anawazidi mshahara hao mafundi waliokua wanamfunika Ajib
 
kama mikia a.k.a "7UP" wanasajili tena kipindi hiki ni laana. hebu niambie katika kikosi chenu ni mchezaji wa namna gani amekosekana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…