Ghiti Milimo
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 4,748
- 7,061
Daaah! Ni sahihi kutafuta ulinganifu kwa mfano wako huo?
Nyie si mpo level ya Barcelona au mmejisahau?Daaah! Ni sahihi kutafuta ulinganifu kwa mfano wako huo?
Kama inauma chomoaHii iwafikie viongoz wote wa club pendwa ya Simba sports club. Hii sio sawa hii sio sawa kabisaa kwa adhi ya club ya Simba Mimi ni shabiki tena kindaki wa hii timu. Mara ya mwisho mimi nilikodi canter kama hii ikanichukulia vitu vya ndani kutokea g/mboto mpaka mbezi kwa Tsh 80,000/= za kitanzania.
Hili ndio gari wanaloliita la wazi liliwabeba wachezaji wa Simba Leo kutokea airport kuelekea makao makuu ya club msimbazi k.kooView attachment 1526498
Utopolo mnahangaika Sana, tuliwatoa kwenye ASFC, kwenye fainali mkajifanya mko Namungo tukawanyoosha!
Level zenu gwambina Fc siyo Simba Sc
Nimekuja unasemaje?(kwa sauti kali yenye besi zito)Penison na yule mwenzio mwenye jina la kifaransa Troisième Ceil mnaitwa huku.
hiyo gari yenyewe katoa mo ilikua inambaza TAMBIHii iwafikie viongoz wote wa club pendwa ya Simba sports club. Hii sio sawa hii sio sawa kabisaa kwa adhi ya club ya Simba Mimi ni shabiki tena kindaki wa hii timu. Mara ya mwisho mimi nilikodi canter kama hii ikanichukulia vitu vya ndani kutokea g/mboto mpaka mbezi kwa Tsh 80,000/= za kitanzania.
Hili ndio gari wanaloliita la wazi liliwabeba wachezaji wa Simba Leo kutokea airport kuelekea makao makuu ya club msimbazi k.kooView attachment 1526498
sio kama yale ila tambua kuna magari ya wazi mazuri yanakodishwa mfano angalia ktk promotion za vinyaji au makampuni ya simu utajua gari zipoIvi yale Magari ya Wazi yanayobeba Timu za Ulaya ambalo na wewe ulitegemea ulione kwa Simba Tanzania lipo japo moja? Au yanapatikana wapi hapa Tanzania?
Mambo mengine tusiangalie ushabiki tu au nawewe uonekane umeanzisha Uzi! Hata kwenye Matamasha yetu na Mikutano ya Vyama vya Siasa tunatumia Malori na Macanter kwasababu ndiyo magari pekee ya wazi yanayopatikana Tanzania, Lakini wewe unatarajia uone Magari ya Wazi ya Ulaya wakati Tanzania nzima hakuna hata moja?
Tofautisha Simba na Real Madrid wanapobeba Kombe.
"Tupunguze Mihemko"
sio kama yale ila tambua kuna magari ya wazi mazuri yanakodishwa mfano angalia ktk promotion za vinyaji au makampuni ya simu utajua gari zipo
Utopolo mnahangaika Sana, tuliwatoa kwenye ASFC, kwenye fainali mkajifanya mko Namungo tukawanyoosha!
Level zenu gwambina Fc siyo Simba Sc
Sasa c umeambiwa hayo magar Tanzania hayapo mbona huelew?Halafu eti wanasemaga "sisi ni level za Barcelona". Teh teh.
Hahaha unaona sasa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Toooba.