Simba sports club hii ni aibu haswa kwenu

Kama inauma chomoa
 
hiyo gari yenyewe katoa mo ilikua inambaza TAMBI
 
sio kama yale ila tambua kuna magari ya wazi mazuri yanakodishwa mfano angalia ktk promotion za vinyaji au makampuni ya simu utajua gari zipo
 
Nani anauza ndizi?Naona nyani wamekata fensi. Pia kuna mbwa wengi wanabweka. Ule msimu wao wa kujamiiana umefika?
Msimu wa usajili huwa wanabweka sana ila msimu ukiisha wanakubali matokeo licha ya visingizio.
Abassi Tarimba Mwenyekiti wa Zamani wa Utopolo katamka Simba Oyee baada ya kuukubali ukweli lakini mbwa jike wachache bado wanaendelea kubweka. Majina haya:
Mbwa na Nyani ni kwa hisani ya Luc Eymael
 
Utopolo mnahangaika Sana, tuliwatoa kwenye ASFC, kwenye fainali mkajifanya mko Namungo tukawanyoosha!

Level zenu gwambina Fc siyo Simba Sc

Hahahaaaaa,mpira umewashinda sasa hv wamehamia kwenye magari
 
Reactions: Tui
Vyura mmeshindwa hata kumuwekea kocha wife na king'amuzi cha lakimbili ndo mngeweza kununua basi la wazi kama mngekwaa ubingwa?
 
Utopolo mwaka huu mjipange tutawapiga 8G,
 
Reactions: Tui
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…