Hahaha unakwama bro hyo ni mihemko ya wazi kabisa .Ilo gari ndio uongozi wa mbumbumbu fc umejitutumua kuwabeba wachezaji kushangilia ubingwa, MO amekaa pembeni ana cheeeeeka. Hii inaonyesha level halisi ya klabu ya Simba bila MO.yaani upepo umepuliza tumeziona nyeti za mbumbumbu fc.
Simba haisajili mwaka huu, vikosi viwili vilivyopo vinatosha kushiriki ligi sambamba na kimoja kikashika namba moja kingine namba mbiliNina hofu MO, hatatoa hela za usajili mwaka huu. Club lazima ijiendeshe!
Kwan hawakufika, utakufa masikini kwa kucomplicate mambo.Hii iwafikie viongoz wote wa club pendwa ya Simba sports club. Hii sio sawa hii sio sawa kabisaa kwa adhi ya club ya Simba Mimi ni shabiki tena kindaki wa hii timu. Mara ya mwisho mimi nilikodi canter kama hii ikanichukulia vitu vya ndani kutokea g/mboto mpaka mbezi kwa Tsh 80,000/= za kitanzania.
Hili ndio gari wanaloliita la wazi liliwabeba wachezaji wa Simba Leo kutokea airport kuelekea makao makuu ya club msimbazi k.kooView attachment 1526498
Kipindi hiki biashara sio nzuri, tunabana matumizi kwa kutumia gari la kiwandani!Hahahaha ndo uwekezaji huo wa MO
Usinifokee sasa . 😂😂😂😂Nimekuja unasemaje?(kwa sauti kali yenye besi zito)
Nimeona wanasema mnabana matumizi eti. LolKitu watu hawajui mm ni shabiki wa Simba ila haijanipendeza kwakwel. Yale magari ya promotion za coca cola mpaka yanatushinda. Kwa brand ya Simba tena ya Mo hapana jamani
Hivyo kenta ndo gari la mwisho kwa ubora lililopo TZ au huko Darisalama?Sasa c umeambiwa hayo magar Tanzania hayapo mbona huelew?
Umemaliza. Show off za nini wakati kombe unalo!!!Shida ya mashabiki wa kibongo ni kuongea bila kutafakari, hivi kwa akili zako ulitaka Simba ichukue basi la million zaidi ya mia nne kwa ajili tu ya kusherekea ubingwa.
Yaani unataka ufananishe maisha ya Real Madrid na maisha ya Simba.
Kwa uchumi gani wa Simba hadi ifanye hivyo.
Au utasema wangekodi gari je kampuni gani hapa bongo ina mabasi ya aina hiyo.
Simba haina pesa kiasi hicho mnavyofikiria, Unapohoji kitu fikiria pande zote sio tu kupinga kila kitu bila kufikiria
Tuache tu.Hii iwafikie viongoz wote wa club pendwa ya Simba sports club. Hii sio sawa hii sio sawa kabisaa kwa adhi ya club ya Simba Mimi ni shabiki tena kindaki wa hii timu. Mara ya mwisho mimi nilikodi canter kama hii ikanichukulia vitu vya ndani kutokea g/mboto mpaka mbezi kwa Tsh 80,000/= za kitanzania.
Hili ndio gari wanaloliita la wazi liliwabeba wachezaji wa Simba Leo kutokea airport kuelekea makao makuu ya club msimbazi k.kooView attachment 1526498
Naomba picha ya gari ya Yanga wakishangilia ushindi! Sio ya Madrid please.Ilo gari ndio uongozi wa mbumbumbu fc umejitutumua kuwabeba wachezaji kushangilia ubingwa, MO amekaa pembeni ana cheeeeeka. Hii inaonyesha level halisi ya klabu ya Simba bila MO.yaani upepo umepuliza tumeziona nyeti za mbumbumbu fc.
Mmmh!! 🤔🤔Kikubwa halikuzimikia njiani, tunafanya savings maana safari zijazo zinahitaji pesa nyingi
Ivi yale Magari ya Wazi yanayobeba Timu za Ulaya ambalo na wewe ulitegemea ulione kwa Simba Tanzania lipo japo moja? Au yanapatikana wapi hapa Tanzania?
Mambo mengine tusiangalie ushabiki tu au nawewe uonekane umeanzisha Uzi! Hata kwenye Matamasha yetu na Mikutano ya Vyama vya Siasa tunatumia Malori na Macanter kwasababu ndiyo magari pekee ya wazi yanayopatikana Tanzania, Lakini wewe unatarajia uone Magari ya Wazi ya Ulaya wakati Tanzania nzima hakuna hata moja?
Tofautisha Simba na Real Madrid wanapobeba Kombe.
"Tupunguze Mihemko"
Kitu watu hawajui mm ni shabiki wa Simba ila haijanipendeza kwakwel. Yale magari ya promotion za coca cola mpaka yanatushinda. Kwa brand ya Simba tena ya Mo hapana jamani
Tulizingua kinoma mtaniNimeona wanasema mnabana matumizi eti. Lol
Sisi tumezowea magari kama yale kuyatumia kubebea machungwa kule kwetu TA sasa kubeba wachezaji ambao huwa mnasema wana thamani ya mamilioni kuwaweka mule ni aibu ya mwaka.
Cc. Sanchez magoli.