Simba sports club hii ni aibu haswa kwenu

Simba sports club hii ni aibu haswa kwenu

Ilo gari ndio uongozi wa mbumbumbu fc umejitutumua kuwabeba wachezaji kushangilia ubingwa, MO amekaa pembeni ana cheeeeeka. Hii inaonyesha level halisi ya klabu ya Simba bila MO.yaani upepo umepuliza tumeziona nyeti za mbumbumbu fc.
Hahaha unakwama bro hyo ni mihemko ya wazi kabisa .
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Nina hofu MO, hatatoa hela za usajili mwaka huu. Club lazima ijiendeshe!
Simba haisajili mwaka huu, vikosi viwili vilivyopo vinatosha kushiriki ligi sambamba na kimoja kikashika namba moja kingine namba mbili
 
Hii iwafikie viongoz wote wa club pendwa ya Simba sports club. Hii sio sawa hii sio sawa kabisaa kwa adhi ya club ya Simba Mimi ni shabiki tena kindaki wa hii timu. Mara ya mwisho mimi nilikodi canter kama hii ikanichukulia vitu vya ndani kutokea g/mboto mpaka mbezi kwa Tsh 80,000/= za kitanzania.


Hili ndio gari wanaloliita la wazi liliwabeba wachezaji wa Simba Leo kutokea airport kuelekea makao makuu ya club msimbazi k.kooView attachment 1526498
Kwan hawakufika, utakufa masikini kwa kucomplicate mambo.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Bingwa wa Nchi, Bingwa wa ngao ya jamii na Bingwa wa kombe la Shirikisho. Hupendi na kama unateseka. Kanunue kamba na kama haitoshi ongezea na dawa ya panya.
Au ni kichaa cha mbwa?Si unajua mbwa mwenye kichaa huwa anapigwa risasi 4 tena za shingo.
 
Kitu watu hawajui mm ni shabiki wa Simba ila haijanipendeza kwakwel. Yale magari ya promotion za coca cola mpaka yanatushinda. Kwa brand ya Simba tena ya Mo hapana jamani
Nimeona wanasema mnabana matumizi eti. Lol

Sisi tumezowea magari kama yale kuyatumia kubebea machungwa kule kwetu TA sasa kubeba wachezaji ambao huwa mnasema wana thamani ya mamilioni kuwaweka mule ni aibu ya mwaka.

Cc. Sanchez magoli.
 
Shida ya mashabiki wa kibongo ni kuongea bila kutafakari, hivi kwa akili zako ulitaka Simba ichukue basi la million zaidi ya mia nne kwa ajili tu ya kusherekea ubingwa.
Yaani unataka ufananishe maisha ya Real Madrid na maisha ya Simba.
Kwa uchumi gani wa Simba hadi ifanye hivyo.
Au utasema wangekodi gari je kampuni gani hapa bongo ina mabasi ya aina hiyo.
Simba haina pesa kiasi hicho mnavyofikiria, Unapohoji kitu fikiria pande zote sio tu kupinga kila kitu bila kufikiria
Umemaliza. Show off za nini wakati kombe unalo!!!
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Hii iwafikie viongoz wote wa club pendwa ya Simba sports club. Hii sio sawa hii sio sawa kabisaa kwa adhi ya club ya Simba Mimi ni shabiki tena kindaki wa hii timu. Mara ya mwisho mimi nilikodi canter kama hii ikanichukulia vitu vya ndani kutokea g/mboto mpaka mbezi kwa Tsh 80,000/= za kitanzania.


Hili ndio gari wanaloliita la wazi liliwabeba wachezaji wa Simba Leo kutokea airport kuelekea makao makuu ya club msimbazi k.kooView attachment 1526498
Tuache tu.
 
Ilo gari ndio uongozi wa mbumbumbu fc umejitutumua kuwabeba wachezaji kushangilia ubingwa, MO amekaa pembeni ana cheeeeeka. Hii inaonyesha level halisi ya klabu ya Simba bila MO.yaani upepo umepuliza tumeziona nyeti za mbumbumbu fc.
Naomba picha ya gari ya Yanga wakishangilia ushindi! Sio ya Madrid please.
 
Ivi yale Magari ya Wazi yanayobeba Timu za Ulaya ambalo na wewe ulitegemea ulione kwa Simba Tanzania lipo japo moja? Au yanapatikana wapi hapa Tanzania?

Mambo mengine tusiangalie ushabiki tu au nawewe uonekane umeanzisha Uzi! Hata kwenye Matamasha yetu na Mikutano ya Vyama vya Siasa tunatumia Malori na Macanter kwasababu ndiyo magari pekee ya wazi yanayopatikana Tanzania, Lakini wewe unatarajia uone Magari ya Wazi ya Ulaya wakati Tanzania nzima hakuna hata moja?

Tofautisha Simba na Real Madrid wanapobeba Kombe.

"Tupunguze Mihemko"

Mleta mada amejiita "mjumbe". Muonee huruma. Wajumbe sio watu wazuri. Wanakuambia tupo nyuma yako, ukigeuka hawapo.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Kitu watu hawajui mm ni shabiki wa Simba ila haijanipendeza kwakwel. Yale magari ya promotion za coca cola mpaka yanatushinda. Kwa brand ya Simba tena ya Mo hapana jamani

Unapokuwa una Mke then ukaishia kuzilalamikia aibu za Mke wako hadharani basi tayari umeshakosa sifa ya kuitwa Mume.
Simba haina Shabiki mwenye akili za Kiutopolo kama wewe.
Tafadhali baki na Timu yako Manyani FC.
 
Nimeona wanasema mnabana matumizi eti. Lol

Sisi tumezowea magari kama yale kuyatumia kubebea machungwa kule kwetu TA sasa kubeba wachezaji ambao huwa mnasema wana thamani ya mamilioni kuwaweka mule ni aibu ya mwaka.

Cc. Sanchez magoli.
Tulizingua kinoma mtani

Tutakalolipanda 2020/2021 (si unajua ni miaka 10 mfulilizo 😀)

Natumai kanjibahi atakuwa amejifunza nini mashabaiki wanataka
 
Back
Top Bottom