Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfungaji ni Laki si pesa, alipiga hat-trick dk 91, 92 na 93. Una swali jingine?we sema wafungaji ni akina nani na magoli yalifungwa dakika ya ngapi?
Nina Wasiwasi na Ushabiki wako kwa Klabu ya Simba.Sibishani na mbumbumbu Kama wewe nenda kabishanie kijiweni kwako na wa size yako
Soma sheria za soka.. Utaelewa..!
Nani amekwambia za bure? Soka ina taratibu zake ambazo lazima zifuatwe. Kama unafuatilia soka ya Tanzania vizuri utagundua kuwa siyo mara ya kwanza timu kupokwa points kwa kosa kama la kagera. Kuna mwaka hata Simba walipokwa point akapewa kagera kwa kumchezesha Musa Hassan Mgosi kwasababu alikuwa na kadi 3 za njano. Jambo hili lilisababisha Yanga akachukua ubingwa. Kama unalijua hili utakumbuka kuwa Simba hawakuleta figisufigisu kama za sasa.kwa hiyo sharia za soka zinasema ukifungwa uwanjani nenda kadai point za bure bure mezani?
Sawa, sheria pia zipo. Kama si Simba basi klabu nyingine ingelalamika tu.simba walifungwa na Kagera sugar kihalali kabisa ............Simba ilitakiwa wawe makini uwanjani ili wasifungwe sio kutaka point za bure bure
Watanzania ni watu wa ajabu sana yaani mpira huchezwe bila sheria na kanuni? Akili zingine bwana ni za usiku tu mchana mtaua watuTatizo mpira hamjui mnataka msaada
Sasa ueshindwa uwanjani huoni sasa mnavyoteseka kuomba point 3 na tff hawana kumbukumbu muda wa kusaka point 3 ni uwanjani huku nje sio rahis ukilaza unawasumbuaWatanzania ni watu wa ajabu sana yaani mpira huchezwe bila sheria na kanuni? Akili zingine bwana ni za usiku tu mchana mtaua watu
Mbona wakitka ushahidi ulonyooka ni simple tu,waende azam tv wakaombe rekoded mechi zote tatu waangalie km kweli Fakhi alipewa kadi kwenye hizo mechi.....wasitufanye kama mazuzu...hakuna ushahidi ulio nyooka pande zote, kamati ya saa 72 imeunga unga ushaidi mpaka kagera kapokwa point
now tume hii nayo inaunga unga ushaidi ili kurudisha point kwa wenyewe..
nna uhakika kuna watu wame foji taarifa maana ushaidi umekuwa wa kuunga unga si simba wala kagera
ila mpaka sasa sijafahamu izi point 3 na magoli ma 3 alizo pewa simba mfungaji alikuwa nani na dk ya ngapi
Mkuu hata mimi nashangazwa, kwa nini wasiangalie mkanda wa video uliorekodiwa na Azam Tv! Yaani ni kama wanalazimisha kusukuma gari wakiwa ndani wakati wanaweza kushuka na kusukuma na safari ikaendelea!!!!Mbona wakitka ushahidi ulonyooka ni simple tu,waende azam tv wakaombe rekoded mechi zote tatu waangalie km kweli Fakhi alipewa kadi kwenye hizo mechi.....wasitufanye kama mazuzu...
Ah....ndg yng weeeeee hawa jamaa wametafuta mechi ambayo haikurekodiwa la cvyo mbona ktambo tu ishu ingeisha? mi yananikera sana kufosifosi mambo muda wanaodai Fakhi kupewa kadi alikuwa tyr keshatolewa baada ya kuumia!Mbona wakitka ushahidi ulonyooka ni simple tu,waende azam tv wakaombe rekoded mechi zote tatu waangalie km kweli Fakhi alipewa kadi kwenye hizo mechi.....wasitufanye kama mazuzu...
Naomba kukuliza mtoa madaViongozi Na wanachama wa Simba kuweni makini Na sakata la Pointi 3 zinazopiganiwa Na klabu ya Kagera.Kwa taarifa yenu Yanga iko nyuma ya klabu ya Kagera wakishirikiana Na uongozi wa Juu wa TFF wakiongozwa Na Rais wake Na Katibu MKUU.Ushaidi umekuwa wa kutafutatafuta wakati maamuzi yalikwisha tolewa Na Kamati husika.