Simba Sports Club na Jambo Lao La Kitaifa, Jambo la Nchi. DUA yako ni Muhimu sana

Simba Sports Club na Jambo Lao La Kitaifa, Jambo la Nchi. DUA yako ni Muhimu sana

kinje ketile

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2015
Posts
5,089
Reaction score
9,664
Simba Sports Club Wawakilishi Pekee Katika Michuano ya Kimataifa Jioni Ya Leo Wapo Kazini Kutetea Bendera Ya Taifa...Bendera Ya Nchi ya Tanzania.Kama ilivyo desturi kwa Watanzania inapotokea Jambo La Nchi ..Utani unawekwa Pembeni.

Nduli Iddi Amini alisambaratishwa Kwa Kuwa lilikuwa Jambo la nchi.

Asec Mimosa ndani Ya Dk 90 anaenda kuwa Adui Wa Taifa...! Adui Wa Nchi.

Dua ni muhimu Sana Kwa Kila Mtanzania.

Baada ya Dk 90 njooni tuendelee kutaniana.
 
Vita ya simba haiwezi kuwa vita ya Taifa..siyo timu ya Taifa bali ni club ya Mpira hvo hisia zako usalazimishe ziwe kwa wote ...Asec mimosas watafanya vyema tu pamoja na figisu zenu.
 
Vita ya simba haiwezi kuwa vita ya Taifa..siyo timu ya Taifa bali ni club ya Mpira hvo hisia zako usalazimishe ziwe kwa wote ...Asec mimosas watafanya vyema tu pamoja na figisu zenu.
Wewe Ni Mtanzania kweli..? Ni Dk 90 za Machozi,Jasho na Damu..! Omba DUA wewe halafu baada Ya hapo kuja hapa Kwa Utani...!
Huwezi jua Dua Yako inaweza kusababisha mbeleko kwa timu 4 Mwakani..!
 
Usiliingize Taifa kwenye kikundi cha wahuni wachache.!
 
Timu ikishaanza somjo za tunaomba dua zenu ujue tayari walishafeli hao
 
Waambie hao....Mbeleko ikipatikana Utopolo Mnajiona Wajanja...Sasa Muache kuvaa Mijezi Ya Wapinzani.
 
Mtu anayeiombea Nchi Yake Ishindwe kwenye Vita huwa Anapata laana...Msijitafutie Laana Za Bure..! Simba anapigania nchi! Leo ni Vita Mataifa ndo maana Bendera za nchi husika Hupepea.
 
Back
Top Bottom