Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Simba wamejaribu kufanya jambo tofauti lakini lisilo na tija. Nadhani ni wakati sahihi wa kufocus kwenye kubuni jezi kali ambazo zitashindana na za @yangasc1935
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasichojuwa wengi tunavutiwa na hao warembo na siyo hayo matambara waliyovaa.Simba wamejaribu kufanya jambo tofauti lakini lisilo na tija. Nadhani ni wakati sahihi wa kufocus kwenye kubuni jezi kali ambazo zitashindana na za
@yangasc1935
.
View attachment 2354288View attachment 2354289
Umeona ehhhWasichojuwa wengi tunavutiwa na hao warembo na siyo hayo matambara waliyovaa.
Mbona mnateseka sana na mambo ya Simba? Kama nyie nyani wa pori la Utopolo hamzipendi wenyewe tunazipenda na hizi ni kwa ajili ya wana Simba na wengine wenye akili timamu.Simba wamejaribu kufanya jambo tofauti lakini lisilo na tija. Nadhani ni wakati sahihi wa kufocus kwenye kubuni jezi kali ambazo zitashindana na za @yangasc1935
View attachment 2354288View attachment 2354289
Kuna jezi yoyote umeiona hapo?Nimetumia muda mwingi kukodolea sura,nywele,miguu na hata viatu za walimbwende hawa na siyo jezi.ila pia ubunifu umetumika!
Kuna jezi yoyote umeiona hapo?
ok sawa vazi,Kuna jezi yoyote umeiona hapo?
Na kwa uchafu huu una lolote la kusema?Simba wamejaribu kufanya jambo tofauti lakini lisilo na tija. Nadhani ni wakati sahihi wa kufocus kwenye kubuni jezi kali ambazo zitashindana na za @yangasc1935
View attachment 2354288View attachment 2354289
halafu wenye tako akivaa babara itaonekana kama gaguloWasichojuwa wengi tunavutiwa na hao warembo na siyo hayo matambara waliyovaa.
Na kwa uchafu huu una lolote la kusema?View attachment 2354474
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Akili zao kweli hawakukosea hahaahhaahKuna jezi yoyote umeiona hapo?