Simba Sports Club na ubunifu wa hali ya juu usio na tija

Nimetumia muda mwingi kukodolea sura,nywele,miguu na hata viatu za walimbwende hawa na siyo jezi.ila pia ubunifu umetumika!
 
Hizo zimebebwa na hizo pisi, ukutane na sisi kina mwajuma ndala ndefu tumezivaa utaona kituko chake
 
Kwani kuna ulazima wa tija kuiona nyie na wala si wale walioleta ubunifu..!?
 
Kwa mujibu wa ukurasa wa CAF. Sasa mliocheza na chekechea hata hamtambuliki kama mlikuwa na mechi
 

Attachments

  • Screenshot_20220912-190107.png
    147.3 KB · Views: 4
Simbaaaa ni kuuuubwaaa usipoiongelea kwenye hili utaongea kwny lile,yani ni kama Yan'gaaaaa haipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…