Simba Sports Club safari bado tunayo haijaisha, tuzidi kupambana kwa maslahi ya Klabu na Nchi

Simba Sports Club safari bado tunayo haijaisha, tuzidi kupambana kwa maslahi ya Klabu na Nchi

Humtuambii kitu Vyura [emoji196][emoji196] kwanza wewe ni katika wale wahamiaji haramu.

Simba Taifa Kubwa..Unajua maana yake kuitwa hivyo tangu enzi hizo?

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaufahamu umoja wa mataifa? Hata mnapojifananisha na Barcelona na PSG hujiona mko sahihi.Subiri Ahly Ahly aje akule vyombo.Lazima mkia uliwe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
yani nasemaji ile nifedheha, tunawasubiri tuwachape bakora tano tano
Mbona unakwepa swali langu? Ok...Na hii tuite namna gani mkuu
IMG_20190120_110916_977.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona unakwepa swali langu? Ok...Na hii tuite namna gani mkuuView attachment 999961

Sent using Jamii Forums mobile app
HATUISHI KWA KURUDI NYUMA BALI TUNAISHI KWA KWENDA MBELE, LINI ULIWAHI KUTEMBEA KINYUME NYUME WW?

5 -0 NI UDHALILISHAJI, NA PIA MUMSHUKURU SANA MWAMUZI NAYE ALIKUWA NI MSHABIKI WA SIMBA FC, LA SIVYO KWA WALE TUNAOUJUA MPIRA VIZURI TUNAJUA KIUHALALI JANA SIMBA ALINYUKWA 6 - 0.

EBU FAFANUA VIZURI GOLI LA SITA LILIKUWA OFFSIDE KWA MISINGI IPI HASA KWA SHERIA ZA SOKA ZA FIFA, KAMA SIYO TU HEKIMA ZA REFEREE KUWASITIRI KWA FEDHEHA?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante kwa kukubali maana ulijitoa fahamu hapo..!

Kwangu mbona yamepita tangu Jana mkuu..Naangalia mechi zingine
teh teh unafukua makaburi wenzio maumivu yalishaisha.
Kipigo cha hana bado cha moto moto kunauma mpaka kwa moyo
Poor simba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
HATUISHI KWA KURUDI NYUMA BALI TUNAISHI KWA KWENDA MBELE, LINI ULIWAHI KUTEMBEA KINYUME NYUME WW?

5 -0 NI UDHALILISHAJI, NA PIA MUMSHUKURU SANA MWAMUZI NAYE ALIKUWA NI MSHABIKI WA SIMBA FC, LA SIVYO KWA WALE TUNAOUJUA MPIRA VIZURI TUNAJUA KIUHALALI JANA SIMBA ALINYUKWA 6 - 0.

EBU FAFANUA VIZURI GOLI LA SITA LILIKUWA OFFSIDE KWA MISINGI IPI HASA KWA SHERIA ZA SOKA ZA FIFA, KAMA SIYO TU HEKIMA ZA REFEREE KUWASITIRI KWA FEDHEHA?

Sent using Jamii Forums mobile app
Wew unataka nn?
 
HATUISHI KWA KURUDI NYUMA BALI TUNAISHI KWA KWENDA MBELE, LINI ULIWAHI KUTEMBEA KINYUME NYUME WW?

5 -0 NI UDHALILISHAJI, NA PIA MUMSHUKURU SANA MWAMUZI NAYE ALIKUWA NI MSHABIKI WA SIMBA FC, LA SIVYO KWA WALE TUNAOUJUA MPIRA VIZURI TUNAJUA KIUHALALI JANA SIMBA ALINYUKWA 6 - 0.

EBU FAFANUA VIZURI GOLI LA SITA LILIKUWA OFFSIDE KWA MISINGI IPI HASA KWA SHERIA ZA SOKA ZA FIFA, KAMA SIYO TU HEKIMA ZA REFEREE KUWASITIRI KWA FEDHEHA?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo umeandika nini sasa..! Mkuu hayo maherufi makubwa yanaumiza macho..! [emoji196][emoji3][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Simba SC safari bado tunayo tuzidi kupambana kwa maslahi ya klabu yetu na Nchi, Viongozi, Wachezaji, Wanachama Mashabiki na Wadau wa soka, kwa matokeo ya kufungwa na AS Vita Club ni sehemu ya mchezo wa mpira ambao wakati fulani unapata matokeo ya kutamausha, hongera wachezaji mmecheza kiasi cha uwezo wenu licha ya kupoteza mchezo huo lakini kufungwa kwa idadi hiyo si jambo jipya kwani wachezaji wetu tunawahi kushangilia kwa kumpa MTU 5-0 muhimu ni kujipanga upya.

Kubwa zaidi ni kujipanga kushughulikia na kurekebisha mapungufu yaliyojitokeza katika kikosi na hasa sehemu ya ulinzi, hii sehemu ina changamoto ambayo lazima ifanyiwe kazi haraka inavyowezekana.

Natoa ushauri kwa benchi la ufundi likiongozwa kocha Patrick Aussems kwa mambo mawili;

1. Ni wazi tunatatizo la beki ambapo linahitaji kufanyiwa kazi ili kuondoa makosa ambayo yamekuwa yakijitokeza mara kwa mara ambapo pamoja kupata ushindi dhidi ya Nkana FC, lakini kocha wa Nkana alituambia na kutunasihi kushughulikia suala la nafasi ya ulinzi katika kikosi chetu cha Simba SC.

2.Ni wakati sasa kwa Kocha Patrick Aussems kubadili namna ya Ku aproach away games kwa kuangalia kwa mtazamo mwingine, asilimia 99% games za away makocha wengi wanaangalia sana kutafuta sare kama ni mchezo wa kwanza, ambapo Simba SC tumecheza mpira wetu wa kawaida kama tupo kwa Mchina Taifa.

Matokeo dhidi ya AS Vita Club yatufundishe kwani bado tuna michezo mingine ya away. Tujiandae vizuri. Kwa niaba ya Ghazwat ma salamu.View attachment 999809

Sent using Jamii Forums mobile app
Namna pekee ya kurekebisha kwenye Sehem ya ulinzi ni kusajili tu hakuna namna nyingine wachezaji wote wa simba uwezo wao uliishia pale hakuna namna wangefanya na hata taifa hakuna namna watafanya labda simba ikomae ichukue point kwa Waalgeria au wamisri hawa wakongo ni moto sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu umeongea vema..Lakini kusajili kwa sasa muda umepita hiyo ni mipango ya ijayo.

Unajua timu inaonekana dhaifu ikifungwa..wakati Simba imefungwa na Nkana kule Kiwe, Zambia..Nkana ilionekana ni bora sana na sifa za akina Bwalya. Lakini walipokuja kupigwa marudio na Simba hapo Simba ilionekana ni bora kuliko Nkana, hilo ndo soka

Nina imani makosa yatarekebishwa na Usajili ujao utakuwa bora na makini

SimbaNguvuMoja

Namna pekee ya kurekebisha kwenye Sehem ya ulinzi ni kusajili tu hakuna namna nyingine wachezaji wote wa simba uwezo wao uliishia pale hakuna namna wangefanya na hata taifa hakuna namna watafanya labda simba ikomae ichukue point kwa Waalgeria au wamisri hawa wakongo ni moto sana

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila mmetia aibu sana , goli 6 -0 , ndiyo sita lile alilokataa muamuzi msaidizi ni rehema zake lkn halikuwa na kasoro..basi tufanye 5 bila. Hahaaaaa ktk michuano hii simba ndiyo timu pekee ilivunja record ya kukata mauno mbele ya mwanaume. Marinda yooote kwishey mamaae
Nasikia ukienda Kongo ukifika Customs (Uhamiaji) lazima ukate viuno ili uonyeshe mapenzi yako kwa taifa la Kongo.

Simba walikataa. Taarifa zikawafikia AS Vita, wakawajibu ubamiaji kuwa wasijali.

Kilichotokea 5-0.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom