Unaufahamu umoja wa mataifa? Hata mnapojifananisha na Barcelona na PSG hujiona mko sahihi.Subiri Ahly Ahly aje akule vyombo.Lazima mkia uliwe.Humtuambii kitu Vyura [emoji196][emoji196] kwanza wewe ni katika wale wahamiaji haramu.
Simba Taifa Kubwa..Unajua maana yake kuitwa hivyo tangu enzi hizo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa mkuu...lazima Ukubali kuwa kuna kushinda na kufungwa.Vita ni vita mura
Umenena vyema mkuuJana tumeteseka Ndugu acha tu.... Tunajikaza tu
Goli 5 nyingi mno.. Ila hatuna jinsi zaidi ya kuganga yajayo
Mbona unakwepa swali langu? Ok...Na hii tuite namna gani mkuuyani nasemaji ile nifedheha, tunawasubiri tuwachape bakora tano tano
teh teh unafukua makaburi wenzio maumivu yalishaisha.Mbona unakwepa swali langu? Ok...Na hii tuite namna gani mkuuView attachment 999961
Sent using Jamii Forums mobile app
HATUISHI KWA KURUDI NYUMA BALI TUNAISHI KWA KWENDA MBELE, LINI ULIWAHI KUTEMBEA KINYUME NYUME WW?Mbona unakwepa swali langu? Ok...Na hii tuite namna gani mkuuView attachment 999961
Sent using Jamii Forums mobile app
teh teh unafukua makaburi wenzio maumivu yalishaisha.
Kipigo cha hana bado cha moto moto kunauma mpaka kwa moyo
Poor simba
Wew unataka nn?HATUISHI KWA KURUDI NYUMA BALI TUNAISHI KWA KWENDA MBELE, LINI ULIWAHI KUTEMBEA KINYUME NYUME WW?
5 -0 NI UDHALILISHAJI, NA PIA MUMSHUKURU SANA MWAMUZI NAYE ALIKUWA NI MSHABIKI WA SIMBA FC, LA SIVYO KWA WALE TUNAOUJUA MPIRA VIZURI TUNAJUA KIUHALALI JANA SIMBA ALINYUKWA 6 - 0.
EBU FAFANUA VIZURI GOLI LA SITA LILIKUWA OFFSIDE KWA MISINGI IPI HASA KWA SHERIA ZA SOKA ZA FIFA, KAMA SIYO TU HEKIMA ZA REFEREE KUWASITIRI KWA FEDHEHA?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo umeandika nini sasa..! Mkuu hayo maherufi makubwa yanaumiza macho..! [emoji196][emoji3][emoji23]HATUISHI KWA KURUDI NYUMA BALI TUNAISHI KWA KWENDA MBELE, LINI ULIWAHI KUTEMBEA KINYUME NYUME WW?
5 -0 NI UDHALILISHAJI, NA PIA MUMSHUKURU SANA MWAMUZI NAYE ALIKUWA NI MSHABIKI WA SIMBA FC, LA SIVYO KWA WALE TUNAOUJUA MPIRA VIZURI TUNAJUA KIUHALALI JANA SIMBA ALINYUKWA 6 - 0.
EBU FAFANUA VIZURI GOLI LA SITA LILIKUWA OFFSIDE KWA MISINGI IPI HASA KWA SHERIA ZA SOKA ZA FIFA, KAMA SIYO TU HEKIMA ZA REFEREE KUWASITIRI KWA FEDHEHA?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wew unataka nn?
Namna pekee ya kurekebisha kwenye Sehem ya ulinzi ni kusajili tu hakuna namna nyingine wachezaji wote wa simba uwezo wao uliishia pale hakuna namna wangefanya na hata taifa hakuna namna watafanya labda simba ikomae ichukue point kwa Waalgeria au wamisri hawa wakongo ni moto sanaSimba SC safari bado tunayo tuzidi kupambana kwa maslahi ya klabu yetu na Nchi, Viongozi, Wachezaji, Wanachama Mashabiki na Wadau wa soka, kwa matokeo ya kufungwa na AS Vita Club ni sehemu ya mchezo wa mpira ambao wakati fulani unapata matokeo ya kutamausha, hongera wachezaji mmecheza kiasi cha uwezo wenu licha ya kupoteza mchezo huo lakini kufungwa kwa idadi hiyo si jambo jipya kwani wachezaji wetu tunawahi kushangilia kwa kumpa MTU 5-0 muhimu ni kujipanga upya.
Kubwa zaidi ni kujipanga kushughulikia na kurekebisha mapungufu yaliyojitokeza katika kikosi na hasa sehemu ya ulinzi, hii sehemu ina changamoto ambayo lazima ifanyiwe kazi haraka inavyowezekana.
Natoa ushauri kwa benchi la ufundi likiongozwa kocha Patrick Aussems kwa mambo mawili;
1. Ni wazi tunatatizo la beki ambapo linahitaji kufanyiwa kazi ili kuondoa makosa ambayo yamekuwa yakijitokeza mara kwa mara ambapo pamoja kupata ushindi dhidi ya Nkana FC, lakini kocha wa Nkana alituambia na kutunasihi kushughulikia suala la nafasi ya ulinzi katika kikosi chetu cha Simba SC.
2.Ni wakati sasa kwa Kocha Patrick Aussems kubadili namna ya Ku aproach away games kwa kuangalia kwa mtazamo mwingine, asilimia 99% games za away makocha wengi wanaangalia sana kutafuta sare kama ni mchezo wa kwanza, ambapo Simba SC tumecheza mpira wetu wa kawaida kama tupo kwa Mchina Taifa.
Matokeo dhidi ya AS Vita Club yatufundishe kwani bado tuna michezo mingine ya away. Tujiandae vizuri. Kwa niaba ya Ghazwat ma salamu.View attachment 999809
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwakua wew ulikula 6 unataka na mwenzako mlingane nae hahaha hahah poooleWATUPATIE LILE GOLI LETU LA 6 MAANA LIMENIUMA SANA KUNYIMWA BILA SABABU YEYOTE ILE YA MAANA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Namna pekee ya kurekebisha kwenye Sehem ya ulinzi ni kusajili tu hakuna namna nyingine wachezaji wote wa simba uwezo wao uliishia pale hakuna namna wangefanya na hata taifa hakuna namna watafanya labda simba ikomae ichukue point kwa Waalgeria au wamisri hawa wakongo ni moto sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeona hiyo kitu... Huyu anataka tufanane ilhali anajua kwa yakini kabisa kwamba sisi si kama waoKwakua wew ulikula 6 unataka na mwenzako mlingane nae hahaha hahah pooole
Nasikia ukienda Kongo ukifika Customs (Uhamiaji) lazima ukate viuno ili uonyeshe mapenzi yako kwa taifa la Kongo.Ila mmetia aibu sana , goli 6 -0 , ndiyo sita lile alilokataa muamuzi msaidizi ni rehema zake lkn halikuwa na kasoro..basi tufanye 5 bila. Hahaaaaa ktk michuano hii simba ndiyo timu pekee ilivunja record ya kukata mauno mbele ya mwanaume. Marinda yooote kwishey mamaae