Nasikia ukienda Kongo ukifika Customs (Uhamiaji) lazima ukate viuno ili uonyeshe mapenzi yako kwa taifa la Kongo.
Simba walikataa. Taarifa zikawafikia AS Vita, wakawajibu ubamiaji kuwa wasijali.
Kilichotokea 5-0.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila mmetia aibu sana , goli 6 -0 , ndiyo sita lile alilokataa muamuzi msaidizi ni rehema zake lkn halikuwa na kasoro..basi tufanye 5 bila. Hahaaaaa ktk michuano hii simba ndiyo timu pekee ilivunja record ya kukata mauno mbele ya mwanaume. Marinda yooote kwishey mamaae
Ni kweli tunahitaji kusajili lakini kwa sasa kocha alitakiwa kufanyia kazi forms za natural/orthodox backs kama Mlipili na Paul Bukaba.Namna pekee ya kurekebisha kwenye Sehem ya ulinzi ni kusajili tu hakuna namna nyingine wachezaji wote wa simba uwezo wao uliishia pale hakuna namna wangefanya na hata taifa hakuna namna watafanya labda simba ikomae ichukue point kwa Waalgeria au wamisri hawa wakongo ni moto sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa wewe ulietunza bikra yako ukaenda kufilwa na wahuni wa stend unatwambia nini? Tuachie simba yetu pambaneni ya yanga yenu!Ila mmetia aibu sana , goli 6 -0 , ndiyo sita lile alilokataa muamuzi msaidizi ni rehema zake lkn halikuwa na kasoro..basi tufanye 5 bila. Hahaaaaa ktk michuano hii simba ndiyo timu pekee ilivunja record ya kukata mauno mbele ya mwanaume. Marinda yooote kwishey mamaae
Hahahaha! Ila kufungwa kunauma sana tena magoli matano kwa bila lol! Hii aibu sanaSasa wewe ulietunza bikra yako ukaenda kufilwa na wahuni wa stend unatwambia nini? Tuachie simba yetu pambaneni ya yanga yenu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kutobolewa bikra na wahuni wa Stendi (mateja)kunauma sanaHahahaha! Ila kufungwa kunauma sana tena magoli matano kwa bila lol! Hii aibu sana
Ya parking?Bado nafasi ipo!
Nafasi ya kuelekea robo fainaliYa parking?
Mwakilishi wa Michuano ya Kimataifa Tanzania ni Simba SCKoma we! Taifa gani unaloliwakilisha? Labda taifa soap
Yaani mmeshindiliwa ‘vitano’ tena kwenye cku zenu za ‘hatari’ vya nguvuu kabisa alafu mnajipa matumaini kuea hamja bebeshwa ujauzito?? alooo ebu acheni masihara!!
Sportpesa cup labdaNafasi ya kuelekea robo fainali
Yote mema mkuuSportpesa cup labda
Msamehe mkuu. Mihemko imemzidia.Acha kashfa na matusi...Lete utani wa kisoka kama mtani wa jadi..Vinginevyo nitakuwashia moto sasa hivi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Daaaah! Haya yote ni makosa yetu. Hatukupaswa kupumzisha kwapaMwakilishi wa Michuano ya Kimataifa Tanzania ni Simba SC
Kwani Yanga huko kanda ya ziwa walikokwenda kuna michuano ya CAF?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ilikuwa hakuna namna lazima iwe hivyo. Na tumejipanga kuhakikisha hampati tena nafasi.Daaaah! Haya yote ni makosa yetu. Hatukupaswa kupumzisha kwapa