hapo safi
Khaa imekuwa droo!!!!
[SIZE=-1]
[/SIZE]View attachment 44617
[SIZE=-1]
[/SIZE]uwanja mpya[SIZE=-1]
[/SIZE][SIZE=-1][/SIZE]
Nimesikia simba wana launch tv yao leo!
site tu utata tv itawezekana kweli sidhani kama kunakitu kama iko..
Nimeckia leo kwenye clouds afu watafanyia quality centre kiingirio 70000
Du! Thread yas Simba wameondoa STICKY kuitafuta tabu kweli, sijui baadhi ya MODs ni magamba?
Hii ya uwanja imefikia wapi au zilikuwa kampeni za Rage anasubiri uchaguzi mwingine ukaribie?
sema mkuu tuandamane haiwezekani...sio mara ya kwanza kuitoa kuna mod mmoja ni Yanga bai ana matatizo kweli kweli ..invisible ndiye ukimuomba anairudishaga..sasa sijui anapata raha fgani kuweka stick thread ya man city huku akiiondoa ya mnyama
..sasa sijui anapata raha fgani kuweka stick thread ya man city huku akiiondoa ya mnyama
..nadhani tuwape masaa 24 jf admin kutupatia jibu kuanzia sasa kabla ya kuitisha maandamano makubwa
wanakipiga leo..updates zitakuwepo za kumwagaWadau, Simba na Kiyovu ni leo?
Kama jibu ni ndiyo, tunaomba updates walioko uwanjani.