saint jamaa wa urturuki walichomoa bana anyway tusubiri ""rage tower""
kaka walichomoa lini tena ? dah!!
 
juma kaseja
nasoro masuri
juma nyoso
somari
kazimoto
felix
bobani
patriki
hawa ni baadhi ya watakaoanza kwenye kikosi cha leo..tukipata kikosi kamili tutakimwaga hapa
 
naam! Kipute kinaendelea: kumbe Kiyovu si wabaya aisee, wanafikafika kwenye langu la Simba bwana.
 
amepewa pasi na okwiii ......counter attack hii hapa atiiii .....
 
Kila la heri watani......

Simba piga hao Kiyovu goli 5-0.........

Go Simba go............

Tupo pamoja leo......Utaifa kwanza....​

 
cha piliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
okwi anatoa assist hapa hahahhahah
 
juma kaseja hawawahi kuosha akipata mpira anawaanzishia mabeki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…