hivi kwanini uzinduzi wa tv yenu mlikwenda kuufanyia kule quality kwa mwanachama maarufu wa yanga yusuf manji?wana simba hawana sehemu nzuri kama ile au?foodworld(hadees) vipi mbona panatosha..au kwa nini msiizindulie kwenye uwanja wenu wa kisasa ule ambao aden amekuwa akitemea nao mfukoni na kuwaonyesha waandishi wa habari picha zake utalavyokua??
 
ha ha ha a ..haya bana
 
kuna tabia ya wana-simba siku kama ya leo ikicheza wanaanzisha thread zao ambazo hata hazidumu.
 
Jamani matokea ya simba na kagera vipi naona kimya tumefungwa nini
 
Gooooooooo! Mafisango tena anaipatia Simba bao kwa njia ya penati! 2-1
 
vipi jamani hamna watu uwanjani leo au mechi bado haijaanza. tupeni updates pls clashwise nakusubili kwa ham mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…