ha ha ha a ..haya banahivi kwanini uzinduzi wa tv yenu mlikwenda kuufanyia kule quality kwa mwanachama maarufu wa yanga yusuf manji?wana simba hawana sehemu nzuri kama ile au?foodworld(hadees) vipi mbona panatosha..au kwa nini msiizindulie kwenye uwanja wenu wa kisasa ule ambao aden amekuwa akitemea nao mfukoni na kuwaonyesha waandishi wa habari picha zake utalavyokua??
kitoweo bado *amenganganiwa na kagera suger bao 1-1,kila lakheri kager suger.Jamani matokea ya simba na kagera vipi naona kimya tumefungwa nini
Haya, mpira umekwisha. SIMBA 3 KAGERA 1