Simba Bingwa 2012 kabla ligi haijaisha. Kama Real Madrid walah. Jumapili tunakijaribu kikosi chetu cha pili kucheza na wakuda wa jangwani. Kikosi cha kwanza kitakuwa kinafanya mazoezi ya ligi za Wanaume Wenzentu.
Mungu ibariki Simba Mungu ibariki Tanzania na soka lake
Pia ibariki CDMMungu ibariki Simba Mungu ibariki Tanzania na soka lake
na kula bata.watu wanangoje kukabidhiwa ndoo lao tu
Game saa ngap wadau?
View attachment 53572......................