upande wa simba 😛ound::biggrin1::dance::laugh::clap2::A S 41::bounce:😎:love::smile-big::wave: :first:

kwa yanga
:mmph::angry::redfaces::whoo::confused3::A S 20::confused2::shut-mouth::nimekataa😕:doh::crying::frusty::faint2::A S-confused1: :third:
 
Duh almanusura historia ijirudie (6-0). Hiki ni kipigo cha mbwa mwizi ka si paka shume.
Sasa bakora tu jangwani! Astaghfiru yaani mkono duh, mzee mzima kalambishwa mkono bila kunawa! toba!
 

Katika watu waungwana hapa JF wewe ni mmoja wapo iwe kwenye jukwaa hili au la Siasa.
 
...BJ nilikuwa nahisi nawe ni mtu wa Msimbazi kwa mnyama sasa nimeupata uhakika....leo kule jangwani lazima bakora zitembee.

BAK mie mnyama damu, ile kandambili siifagili kabisa..bora leo tumewashughulikia ipasavyo!!..hongera na wewe kwa ushindi mnono..weekend inaisha vizurii kabisa!
 

Pole homeboy, mpaka unatia huruma.
 
majonzi uwanjani ..msemaji wa Yanga atoka nduki
[video=youtube_share;hI0pElqpoa4]http://youtu.be/hI0pElqpoa4[/video]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…