Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread
upande wa simba 😛ound::biggrin1::dance::laugh::clap2::A S 41::bounce:😎:love::smile-big::wave: :first:

kwa yanga
:mmph::angry::redfaces::whoo::confused3::A S 20::confused2::shut-mouth::nimekataa😕:doh::crying::frusty::faint2::A S-confused1: :third:
 
Duh almanusura historia ijirudie (6-0). Hiki ni kipigo cha mbwa mwizi ka si paka shume.
Sasa bakora tu jangwani! Astaghfiru yaani mkono duh, mzee mzima kalambishwa mkono bila kunawa! toba!
 
Dah!!!.....

Hii ni FEDHEHA sasa.....

Watani hamna hata HURUMA kwa Mgonjwa?........Vibaya hivyo....

Btw....Tunastahili aina yoyote ya KIPIGO kutoka kwa SIMBA...

Hongereni sana Watani kwa ushindi huu mnono ambao utachagiza upokeaji wa Kombe la Ubingwa wa EPL.....

Kweli nimeamini(mwaka 2011/2012) aungurumapo Simba mcheza nani?........Tunajipanga nasi mwakani.....

Kila la heri katika CAF CL........

Tusinyimane mualiko na kadi ya sherehe ya UBINGWA jamani...

Bala.

Katika watu waungwana hapa JF wewe ni mmoja wapo iwe kwenye jukwaa hili au la Siasa.
 
...BJ nilikuwa nahisi nawe ni mtu wa Msimbazi kwa mnyama sasa nimeupata uhakika....leo kule jangwani lazima bakora zitembee.

BAK mie mnyama damu, ile kandambili siifagili kabisa..bora leo tumewashughulikia ipasavyo!!..hongera na wewe kwa ushindi mnono..weekend inaisha vizurii kabisa!
 
Dah!!!.....

Hii ni FEDHEHA sasa.....

Watani hamna hata HURUMA kwa Mgonjwa?........Vibaya hivyo....

Btw....Tunastahili aina yoyote ya KIPIGO kutoka kwa SIMBA...

Hongereni sana Watani kwa ushindi huu mnono ambao utachagiza upokeaji wa Kombe la Ubingwa wa EPL.....

Kweli nimeamini(mwaka 2011/2012) aungurumapo Simba mcheza nani?........Tunajipanga nasi mwakani.....

Kila la heri katika CAF CL........

Tusinyimane mualiko na kadi ya sherehe ya UBINGWA jamani...

Bala.

Pole homeboy, mpaka unatia huruma.
 
Simba baada yatwaa ubingwa-14.jpg

Simba baada yatwaa ubingwa-13.JPG

Simba baada yatwaa ubingwa-12.JPG

Simba baada yatwaa ubingwa-11.JPG

Simba baada yatwaa ubingwa-10.JPG

Simba baada yatwaa ubingwa-9.JPG



Simba baada yatwaa ubingwa-8.JPG

Simba baada yatwaa ubingwa-7.JPG

Simba baada yatwaa ubingwa-6.JPG


Simba baada yatwaa ubingwa-5.JPG

Simba baada yatwaa ubingwa-2.JPG

Simba baada yatwaa ubingwa-1.JPG

Kipa wa Yanga, Said Mohamed akimlalamikia mwamuzi wa mchezo huo, Hashim Abdalah.JPG

Simba baada yatwaa ubingwa.JPG

Kaseja akipiga penalti na kuifungia timu yake.JPG


Da nimefurahi sana kwa kweli

Picha zote kutoka kwa Michuzi (Pole mtani)
 
majonzi uwanjani ..msemaji wa Yanga atoka nduki
[video=youtube_share;hI0pElqpoa4]http://youtu.be/hI0pElqpoa4[/video]
 
Back
Top Bottom