MwafrikaHalisi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 1,741
- 511
hivi Simba kulikoni Uwanja wa Taifa mechi tatu za mwisho matokeo yake ni hivi
1-Simba vs Azam 1-3
2-Simba vs Nairobi City 1-3
3-Simba vs Sofapaka 0-3
kweli mwaka huuu tutafika!!!
Tutafika tu wala hutakiwi kuwa na wasi wasi.
Mfike wapi simba maneno mengiiiiii kuliko kasuku. Tatizo ni Rage anaongea kama amekula wali kwa dengu. Na tukikutana na nyie (sisi yanga) mtajuta
Tutafika tu:hivi Simba kulikoni Uwanja wa Taifa mechi tatu za mwisho matokeo yake ni hivi
1-Simba vs Azam 1-3
2-Simba vs Nairobi City 1-3
3-Simba vs Sofapaka 0-3
kweli mwaka huuu tutafika!!!
hoja yako si mahala pake.MBUYU Twite na KELVIN Yondan waidhinishwa kuchezea Mabingwa wa Africa Mashariki na kati kwa miaka miwili mfululizo . Dar es Salaam YOUNG Africans
Tehetehetehete..............Simba :sleepy: 000 -- Azam 1 hadi raha....tehetehete kwiwkwiwkwiwkwiwiwwwwiiiiii
Nani katupia?