pls simba sports club pull up .tunataka ushindi
 
Yaani nyie Simba muombe msifungwe leo....maana humu mtaani lugha haitakuwa lugha.Haswa haswa kwenye vichwa vya magazeti:Libolo lamlamba Simba;Simba yashindwa kulamba Libolo, yakung'utwa! Libolo laifanya kitu mbaya Simba;Libolo laikandamiza Simba;Simba yashindwa kulihimili Libolo;Libolo lamning'iniza Simba;Msimbazi waduwazwa na Libolo;
 
Kikosi cha simba: Juma Kaseja,Shomari Kapombe, Nassor Chollo, Kommabil Keita, Juma Nyosso, Haruna Chanongo, Mussa Mude/A Maftah, A Kiemba,Mwinyi Kazimoto, Haruna Moshi, Mrisho Ngassa
 
Hawa waangola wanataka kuwa kisiki ..ngoja tuwafanyie mbaya
 
Isije yakatukuta kama ya APR jana akiwa uwanja wake wanyumbani alilala 2-1 dhidi ya Vitalo
 
Naona dakika zinayoyoma inataka kula kwetu hii ni mbaya sana sijui ndo 90' tutachomoa
 
tumeanza vibya ktk michauano hii lazima .wachezaji wajitambue wafanye juhudi katika mazoezi na kushika mafundisho ya kocha
 
tumeanza vibya ktk michauano hii lazima .wachezaji wajitambue wafanye juhudi katika mazoezi na kushika mafundisho ya kocha
huyu kocha sioni kama ana cha ziada...ni bora tungeendelea kuwa na Prof..wetu: imagine anamtoa Boban anamuingiza Salumu Kinje!!!! kuna nini hapo tena.
 
huyu kocha sioni kama ana cha ziada...ni bora tungeendelea kuwa na Prof..wetu: imagine anamtoa Boban anamuingiza Salumu Kinje!!!! kuna nini hapo tena.

Usajili wetu mwaka huu ni mbovu ni mara mia atumie vijana chipukizi kwa kuwatayarisha misimu inayokuja.Kinje hana mpira wa kumzidi Boban
 
Usajili wetu mwaka huu ni mbovu ni mara mia atumie vijana chipukizi kwa kuwatayarisha misimu inayokuja.Kinje hana mpira wa kumzidi Boban
kuanzia kwenye Usajili wa wachezaji, Benchi la ufundi, na uongozi kwa ujumla ni matatizo matupu: aliuzwa OKWI na kumnunua KIPA ambaye atumiki hii ni akili gani hii.
 
Tujipe matumaini kwao Angola tunaweza kuchomoa na kuingia hatua ya pili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…