mmeanza kuongea bila tathmini wala uchambuzi? mds huu uzi tuunganishiwe kwenye uzi maalum wa simba
Simba wameshinda 3-0 duu nani kafunga tambwe , kihongera au messi ?
.
.
.
.
tushanyukwa tatu
ma@nina kweli
Wacha simba mbona hushangai yanga kukimbia kagame cup
Nisaidieni jamani,hivi huyo kocha ameshaona ubingwa itakua kazi kupata au ni hasira ya kupewa mkataba mdogo.Atatoaje ahadi kama hio kwa soka la bongo.Makubwa.
Atakuwa Simba kachapwa
Ivi awa jamaa wa Simba wamekumbwa na nn
Kwa usajili uliofanyika mwaka huu....aina ya wachezaji tulio nao...uongozi...mshikamano miongoni mwa wachezaji na hamas iliyorejea kwa mashabiki ukijumlisha na kocha fundi tuliyenae wapinzani wajipange tu msimu huu..