Wakuu tuongee ukweli...
Mpira kuchezwa dakika 101 ni halali au kuna dalili za manunuzi ya matokeo?

Baada ya dk 90 kumalizika refa aliongeza dk 7, tujiulize kulikuwa na matukio gani na ni mangapi yaliyosababisha kuongezwa kwa dk zote hizo?

Kama haitoshi dk 7 zimekwisha mpira ukaendelea mpaka dk ya 98 ndipo Kelvin Yondani alipopewa kadi nyekundu.
Natoa rai kwa timu zote pamoja na timu yangu ya Simba kuwa mnapocheza na Yanga jiandaeni kucheza kwa dakika zaidi ya 100 badala ya 90 hasa kama mmeshaifunga Yanga. Maana juzi kama Coastal Union wasingekuwa wameandaliwa vizuri yale magoli yalipangwa kurudishwa ndani ya dk 10 za mwisho na kuongezwa mengine kwenye dk za nyongeza za mwamuzi ambazo huwa hazifahamiki ni ngapi.
 
Kiizaaaaaaaaa
Kiiza ni shedah hapo alikaa nje ya uwanja mechi kadhaa lakini sasa anadaiwa bao moja tu amfikie tuliyemtema Msimbazi anayesifika Yanga kwa kufumania nyavu zaidi kuliko wengine Jangwani. Teheteheteheeeeed

Mabadilikooo.......Mkwakwaniiiii
Coastal Union.......Powerrrrr.....
 
Jana magazeti ya yanga yameandika habari ya kufungwa yanga kama habari ya msiba looh hahaa magazeti yaa kibongo acheni hizo bana najua mnasomaga hapa.
 
Uliza huo mtaji ni wa nani?

Uiza kama kweli hayo mauzo ni ya klabu ya simba?

Nakuhakikishia ni duka la mtu anatumia mgongo wa simba...Do your research
Au utakuta pesa haziinufaishi klabu bali ni miradi ya viongozi wachache
 
Pamoja na kufunga bado simba tunacheza mpira mlaini sana yaani kama timu changa
 
Gooooooooooooooo
Dakika ya 43 ya mchezo, ibrahim ajib anapiga booongee la bao hapa.
Lunyasi 3-mgambo 0
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…