muda Fulani coast alipata 1Coastal Union Vs Ndanda matokeo yakoje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
muda Fulani coast alipata 1Coastal Union Vs Ndanda matokeo yakoje?
Inamaana kashacheza mechi 40?1..NdaLa 40...match 17
2..Azam 39(2 mkononi) 15
3..Simba 39...match 17
40 ni point mkuu afu mechi ndo 17Inamaana kashacheza mechi 40?
bado hatujamwamini kwa kiasi kikubwa ila mechi na yanga ndo itakayo amua tumpe timu au abaki kuwa kocha msaidiziMayanja asipopewa tim naacha kwenda taifa
Duh kweli mpira wetu bado yan mayanja mechi ya yanga ndo itaamu kama apewe au asipwe kwan ligi ina timu mbili simba na yanga acheni izo mambo bana mayanja karejesha iman kwa wanamsimbaz ata tukipigwa na yanga apew tu ivi kocha wa simba anaajiliwa kwa ajir ya kuifunga yanga tubado hatujamwamini kwa kiasi kikubwa ila mechi na yanga ndo itakayo amua tumpe timu au abaki kuwa kocha msaidizi
Mpira bado kweli! ila kumbuka maneno yangu katika post hiiDuh kweli mpira wetu bado yan mayanja mechi ya yanga ndo itaamu kama apewe au asipwe kwan ligi ina timu mbili simba na yanga acheni izo mambo bana mayanja karejesha iman kwa wanamsimbaz ata tukipigwa na yanga apew tu ivi kocha wa simba anaajiliwa kwa ajir ya kuifunga yanga tu
...mfungaji wa goli la simba nani?Simba moja stand 0 mpira unaendelea
Habari njema sana hiyo...Simba moja stand 0 mpira unaendelea
Hamisi Kiiza...mfungaji wa goli la simba nani?