Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo mazima.....bora tukae juu kwa mara ya kwanza tokea msimu wa 2012/13..
...tukimkalisha kandambili tunamsubiri azam amalize viporo vyake,nae tukimkalisha kwa hii form tuliyonayo, ubingwa unarudi msimbazi..Ndiyo mazima...
Lazima akae......tukimkalisha kandambili tunamsubiri azam amalize viporo vyake,nae tukimkalisha kwa hii form tuliyonayo, ubingwa unarudi msimbazi..
...huko waliko hawalali,wamechanganyikiwa hawajui kikosi cha leo huko walipo wampange nani,wanaogopa majeruhi,wakikumbuka mnyama ndio anafuata.!!Lazima akae...
Samahani hii si mahali pake lakini nauliza tuu, jee wale waliokuwa wanaenda Mauritius wamefanikiwa? Maana kuna mtu kaniambia baada ya kukosa usafiri wa pipa walipewa MV Dar es salaam ile ya saa 3 mpaka Bagamoyo? Ila mpaka huko si watafika jumatano na refa kesha ondokaMpira umekwishaaaaaaa Simba SSC 2-Stand 1.Simba anakwea mpaka nafasi ya kwanza
Mkuu malizia tu hawa ni wavuvi wa viluwiluwi...Huko mbeya sio tu kimenuka bali kimeoza kabisa.
Prison 2- wavuvi 1
Tumewazoea kawaida yao dawa yao inachemka watainywa tarehe 20Yanga kabebwa
Matokeo ya kuwapa udhamini watu wenye timu ligi kuu ndiyo hayo, haya hivyo hilo halipunguzi kasi ya gari kubqa breki ndiyo imeshakatika na dereva kang'oa pedel katupa nje shauri yao wakatizao barabara ya Msimbazi.Azam TV wamehujumu mpira wa leo kati ya Simba na Stand
Makofi tafadhaliMpira umekwishaaaaaaa Simba SSC 2-Stand 1.Simba anakwea mpaka nafasi ya kwanza