Tunaongoza?Simba 2-0 Stand
Ni muda wa kuwafariji huu ndio wameanza ligi.Leo vepeee mtani...
Sahauni. Kwa sasa ile milungula yenu haipo. Mnautafuta ushindi kihalali. Mnashinda kwa tabu sana.Kutolewa Bikra ndo jambo gumu, kilichobaki saa hizi ni kushikwa mkono tu [emoji16] [emoji16]... Muanze kujipodoa wanaume waja... Kama msimu uliopita tu,.. Kelele hazitasaidia.... Kimya kimya ndo zetu..