Mkuki kwa nguruwe ,kwa binaadam mchungu,mnaikumbuka hii na Lyon,alafu leo mnamsema Zahera.

 
Mkuu umejam?.. pole
Pole wewe ,unataka kujipa cheo ambacho si chako manake si System admin JF au Ownner wa JF,kama huwezi ushabiki wa mpira bora uache,sasa picha imekukera,je leo mkifa huyu aliyekuwa karibu yako si utapigana nae.
 
Pole wewe ,unataka kujipa cheo ambacho si chako manake si System admin JF au Ownner wa JF,kama huwezi ushabiki wa mpira bora uache,sasa picha imekukera,je leo mkifa huyu aliyekuwa karibu yako si utapigana nae.
Unateseka buree mtani... niachane na mpira kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…