KIKOSI CHA LEO
1.Manula
2.Coulibaly
3.Zimbwe
4.Nyoni
5.Wawa
6.Kotei
7.Chama
8.Mzamiru
9.Kagere
10.Bocco
11.Okwi

Ngoja tuone soka la fainali leo.
 
Hakuna kitu kinauma kama kupigwa bao dakika za majeruhi kama zile
 
Viongozi wa simba pongezi kuifikisha simba robo fainali klabu bingwa afrika.Tunaomba safu ya ulinzi na viungo iimarishwe sana ukweli ni janga la klabu yetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongereni watani leo mmeupiga mwingi mlistahili kushinda[emoji375][emoji375]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…