*BOFYA LINK HII HAPA CHINI KUFAHAMU UKWELI WA HISTORIA YA SIMBA*
[emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji390]

*SHARE NA MASHABIKI WENGINE WAFAHAMU UKWELI WA TIMU YAO ASANTE[emoji1488][emoji91]*
 
Wote ni bora tatizo linakuja pale ambapo tuliwapata wote wawili kwa nyakati tofauti miaka yao ikiwa imeenda sana tumeshindwa kumfaidi yule Pascal Wawa OG wa Azam,Mwanjali kwa msimu alikuja pale msimbazi jaribu kuvuta picha kama angekuja Misimu Minne nyuma!!balaa lingekua kubwa
TUJIKUMBUSHE KIDOGO JAMANI, HUKU TUKIJIULIZA KATI YA MWANJALI NA WAWA NANI BORA?
 
NA KOSA HILI TUNAELEKEA KULIFANYA TENA TUNATAKA KUSAJILI ANGE BARES MCHEZAJI WA MIAKA 32 WA NINI SISI
 
Kagere pia kaongeza mkataba wa miaka miwili hivyo kuzima kabisa ndo na maombi ya wazee wa mabakuli kuwa anaondoka kipindi hiki cha usajili
 
leo hii tarehe 01.07.2019 wawa ameongeza mkataba wa mwaka mmoja
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…