Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread
Havitachacha vyote nilichogundua fatiki inawatesa wachezaji ikumbukwe wameingia bukoba siku moja kabla ya mechi ila si mbaya tutafanya vzr point 9 za kanda ya ziwa uhakika niamini ninachokwambia
Pamoja
 
Mechi ya simba na alliance lini wadau manake Cjaelewa n Leo au kesho
 
Game yetu leo pale Mbeya 10:00 Jioni.
Mbeya city vs Simba sc
 
Wamekosea sana kuwaanzisha Rashid Juma na Said Dilunga hawa watu wana athari wakitokea sub wameshausoma mchezo.
Denis Kitambi na na Patrick wamefeli sana
 
Wamekosea sana kuwaanzisha Rashid Juma na Said Dilunga hawa watu wana athari wakitokea sub wameshausoma mchezo.
Denis Kitambi na na Patrick wamefeli sana
Kabisa hata pale nyuma Juurko + Bukaba ni dolo sana huwa hawazuii vzr.
Unamuacha nje okwi, chama ,wakati huo haruna hachezi... Ngoja tuone 2nd half.
 
Back
Top Bottom