Kuna tetesi za kusajiliwa Mwamnyeto ila anabaki Cost union atakuja msimu ujao
Pia usajili wa yule mshambuliaji wa UD SONGO, huyu anakamilisha tu mambo madogo aje Msimbazi.
Kila la kheri Simba dhidi ya KMC leo
 
Asee hilo li tariq seif Kiakala kila pande ya uwanja lipo,hadi kwenye kufunga lipo. Hatari sana. Li Nchimbi sijui limejificha wapi,na kuna lile li ivory coast sijui kabeki ketu ka wawa na uzee wake katafanyaje siku hyo.
 
Lazima papoe... Midomo midomo sana halafu mkiingia uwanjani hamna kitu... Kuna wajing leo wanasema Yanga anakula Tano??? Kama Ramadhan Kabwili tu mlishindwa kumfunga hizo tano, Mtamfunga nani sasa???
Pamepoa sana hapa, kule kwa watani naona pako moto kila mara wanaulizana Niyonzima kafika wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…