Muungwana akivuliwa nguo huchutama......
Mtani naona unaanza matusi sasa...Hongereni sana watani kwa Ubingwa(maana huo ukame mlokuwa nao)....Hongereni sana wakuu
Kapakeni kwanza rangi jengo lenu...sio mnakurupuka tu
Kapakeni kwanza rangi jengo lenu...sio mnakurupuka tu
Kapakeni kwanza rangi jengo lenu...sio mnakurupuka tu
Game inaendelea Simba 1 Azam 0
Game inaendelea Simba 1 Azam 0
Mkuu, ili tuendelea kusherekea inabidi wachezaji wetu wakaze msuli maana inaonekana Azam wamejipanga sana ili kuvuruka sherehe yetu.jamani haya haya ubingwa ndo huooooooooooooooooo,wadau kaeni mkao wa kula nyani,ndege,cathbert,mfumwa,denovo and all simba fans
baraza tayari keshatupeleka mbele
\simba 1-azam 0
hureeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
kidedeaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa