Ni kweli lakini tunapoendelea kudondosha point kizembe hivi ubingwa tunaweza tusiupate mwaka huuLigi kuu msimu huu inajumla ya mechi 34 mpaka Sasa Simba na Yanga tayari zimecheza mechi 6 inamaana wamebakiza mechi 28 kumaliza ligi huku Azam akibakiza mechi 27 nani mwenye uhakika kuwa atashinda mechi zote 28 zilizobaki..??
Ligi ni ngumu na safari ya kumtafuta bingwa bado ni ndefu sana
BwalyasonSi wana kikosi kipana hawa mixer Morrisson?
Kauli za kushindwa hizi ha ha haLigi kuu msimu huu inajumla ya mechi 34 mpaka Sasa Simba na Yanga tayari zimecheza mechi 6 inamaana wamebakiza mechi 28 kumaliza ligi huku Azam akibakiza mechi 27 nani mwenye uhakika kuwa atashinda mechi zote 28 zilizobaki..??
Ligi ni ngumu na safari ya kumtafuta bingwa bado ni ndefu sana
πππBwalyason
Kapombeson
Mikson
Mkudeson
Morrison
Wamekutana na Prison!
Pila uduvi,pila njugumawe, pila konokono, pila kande[emoji14][emoji14][emoji14]Pira Maharage. [emoji23][emoji23][emoji23]
ππππ Mkuu hizi mambo hizi huwa zinachekesha sana. πππKikosi kipana mnaangalia mechi na Panadol mezani Shadeeya lete maji wanywee dawa huku
Inawezekana Panadol haiwatibu vizuri waletee na Dawa tatu au dicloperππππ Mkuu hizi mambo hizi huwa zinachekesha sana. πππ
Penison na TroisiΓ¨me Ceil nimewaletea maji huku. ππππ
Uzi wao wameukimbia. πππInawezekana Panadol haiwatibu vizuri waletee na Dawa tatu au dicloper