3ZOV
JF-Expert Member
- Dec 28, 2020
- 6,259
- 7,015
Kwenye game zenu za Championship zilizobaki mnapigwa zote.
Al Ahaly atawabamiza bao tano.
As Vita game za ugenini hajapoteza hata moja, hivyo pale taifa moto utawaka ..mtabamizwa kama siyo tano basi ni tatu..
Kwa wastani hapo mutakuwa mumepigwa siyo chini ya bao nane hivi, kwenye kufuzu mtashaaa maana mtaishia nafasi ya tatu..
#MkiaNguvuMoja .
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Naaam mkuu unajiskiaje huko uliko [emoji1787][emoji1787]