Simba hawatakuwa na pesa ya kuvunja mkataba wa Eric Mathoho ila kuna walinzi wawili wanaweza kuwa mbadala wa huyo.

1.Adrian Chama wa Zesco United.

2. Salomon Charles Bievenue Banga Bindjeme wa CotornSport ya Cameroon.

3. Mohamed Quattara wa Al Hilal Omdurman ya Sudan

Hao ni defenders wazuri sana na umri wao bado sana.
 
Leo mnyama akipiga pira biriani plus ushindi mnono mbele ya wajelajela nadharia ya kikosi kipana itapita bila kupingwa
Wee mwanamke una matatizo( usiniulize nmejuaje kuwa wee ni mwanamke) na wala usipinge kuwa wewe ni mwanamke
 
Wee mwanamke una matatizo( usiniulize nmejuaje kuwa wee ni mwanamke) na wala usipinge kuwa wewe ni mwanamke
Kwa hiyo nina maumbile kama ya mama ako au????[emoji38][emoji38][emoji38] au yeye amenizidi urefu wa kina wa k yake embu njoo tujadili kwanza
 
Simba kama tutamwaacha Francis Kahata na Hassan Dilunga msimu huu basi tumtazame kwa jicho pevu Morlaye Sylla wa Horoya Fc huyu ni midfielder anayecheza Central Midfield na Attacking Midfield ni mobile kuliko Kahata na Dilunga.

Morlaye Sylla ana urefu wa 1.70m karibia sawa na Clatous Chama lakini ni strong kuliko Chama na Kahata anaweza kucheza kwenye eneo analocheza Chama kwa usahihi ule ule kama Chama ila siyo mfungaji mzuri kama Chama.

Morlaye Sylla atatuwezesha kumchezesha Tadeo Lwanga kama anchor man tofauti na sasa tunalazimika kutumia double pivot kwa sababu ya kutokuwa na Central midfielder anayeweza kucheza double role.

Mimi siyo mtaalamu wa mpira ila Morlaye Sylla ni chaguo sahihi kwetu.tukumbuke msimu ujao kama timu hizi zote zitaingia hatua ya makundi basi Horoya tutakuwa nao kundi moja tuanze kuwabomoa mapema.
 
Unadhani kwanini Yanga hawajakanusha tetesi za kusajiliwa Shabaan Djuma lakini nguvu kubwa sana inatumika kukataa usajili wa Ajib? Akili za kuambiwa.........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…