Alexander Lukashenko
JF-Expert Member
- Sep 9, 2017
- 4,140
- 9,667
Umemuona bocco?umemuona mugalu?
bocco hakupata clear chance kama huyu mpuuzi. bocco akiwa kwenye form anakufurahisha. lini mugalu kaisaidia timu. mugalu alikuwa anabebwa na chama na luis. akikosa kufunga luis na chama wanafunga, timu inapata ushindi watu wanasahau makosa yake. sasa huyu jamaa ndio mtajua hajuiUmemuona bocco?
Chama na luis ndio walimfumngia goal 15 kwenye mechi 17 za ligi?bocco hakupata clear chance kama huyu mpuuzi. bocco akiwa kwenye form anakufurahisha. lini mugalu kaisaidia timu. mugalu alikuwa anabebwa na chama na luis. akikosa kufunga luis na chama wanafunga, timu inapata ushindi watu wanasahau makosa yake. sasa huyu jamaa ndio mtajua hajui
Ana control chumba na sebule, kapoteza mipira mingapi leo?bocco hakupata clear chance kama huyu mpuuzi. bocco akiwa kwenye form anakufurahisha. lini mugalu kaisaidia timu. mugalu alikuwa anabebwa na chama na luis. akikosa kufunga luis na chama wanafunga, timu inapata ushindi watu wanasahau makosa yake. sasa huyu jamaa ndio mtajua hajui
Badilika kijana kifikra hata ungekua wewe ule mshahara usingeukataa na hapa tanzania hakuna timu itakayoweza lipa ule mshahara......jifunze kukubali kwamba wamesepa huoni hata huko duniani mifano chris madrid na mesi barcaSimba walikosea sn kuwauza wale game changers wawili.Hawa wachezaji wa sasa ni watu wa show off
Yaani mpaka unijiuliza alikuwepo kwenye ile preseason yetu kweli?Ana cobtrol chumba na sebule, kapoteza mipira mingapi leo?
Hujaona?
subiri mkuu, mtegemee mugalu kama striker alafu uone utafika wapiAna control chumba na sebule, kapoteza mipira mingapi leo?
Hujaona?
Msimu uliopita tulimtegemea tukafika robo CAFsubiri mkuu, mtegemee mugalu kama striker alafu uone utafika wapi
Kimataifa Simba aiwezi kufika mbali kwa stricker kama Mugalu nafasi nne apati hata goli moja kima yule.subiri mkuu, mtegemee mugalu kama striker alafu uone utafika wapi
mkuu haya maneno nimeongea sana mkuu. huyu mugalu si wakuchezea timu kama simba. luis na chama walikuwa wakifunga na timu kutoka na ushindi mashabiki walisahau makosa ya huyu jamaa yote. sasa msimu huu ndio tutajua kama mugalu ni mpuuzi. huyu jamaa ndio ameharibu mfumo wote wa timu leo. huwezi pata nafasi 4 za wazi alafu usigongeshe hata mwamba. Onyango alikuwa striker mzuri kuliko mugalu. ila time will tell muache kocha aendelee kumpangaKimataifa Simba aiwezi kufika mbali kwa stricker kama Mugalu nafasi nne apati hata goli moja kima yule.
π π πTimu bado nzuri..tuipe time ligi ikianza.
Hii ni changamoto sana..viungu wetu ndo wanaisaidia sana timu. Tazama msimu ulioisha hai strikers walikuwa na magoli mangapi?Tumesajili Viungo wengi lakini Tumejisahau kwenye kusajili Striker.
Strikers wetu wote ni Wazee wa kulea Wajukuu.
Umri halisi najua wote wanazidi miaka 35 lakini huu Umri wao wa kwenye Vyeti vyao kuzaliwa vya kubumba pia sio Mdogo.
- Bocco - 30 years
- Mugalu - 32 years
- Kagere - 33 years
Msimu ujao lazima tusajili Striker wa uhakika
Leo26 jambo lipi hiliSeptember 25 Simba tuna jambo letu
Achana na mm fuata mambo yak mpuuzLeo26 jambo lipi hili